GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Habari zenu G.T!
ninasumbuliwa na kitambi, nimejaribu kuulizia namna ya kukitoa, kuna watu wameniambia kuwa kitambi bongo ni dili, kinaleta heshima, na pia kitambi ni dhamana, popote unapoenda unaaminiwa.ama kweli bongo noma. Sasa tukiachana na issue hizo. kuna yoyote hapa jf anaweza kunielimisha njia nzuri ya kutoa kitambi!!
ninasumbuliwa na kitambi, nimejaribu kuulizia namna ya kukitoa, kuna watu wameniambia kuwa kitambi bongo ni dili, kinaleta heshima, na pia kitambi ni dhamana, popote unapoenda unaaminiwa.ama kweli bongo noma. Sasa tukiachana na issue hizo. kuna yoyote hapa jf anaweza kunielimisha njia nzuri ya kutoa kitambi!!