Kitabu kipya: "Ujasusi Ni Nini Na Je Majasusi Wanafanya Kazi Gani Hasa?"

Mzalendo_Mwandamizi

JF-Expert Member
Dec 12, 2007
1,117
4,764
Tangazo la kitabu kipya kuhusu taaluma ya Ujasusi. Bei sh 45,000/= (free delivery jijini Dar, mikoani sh 5,000/=). Whatsapp/M-Pesa 0767-340-975
coverr.jpg

Yaliyomo kitabuni

👉Maana ya ujasusi

👉 Historia ya Ujasusi

👉 Aina za Ujasusi

👉 Ujasusi wa kimtandao

👉Ujasusi kama nyenzo ya diplomasia

👉Ujasusi wa kidiplomasia

👉Kifuniko (cover) cha Jasusi

👉 Tofauti kati ya Ujasusi na Uafisa Usalama wa Taifa

👉 Majasusi wanapatikanaje?

👉Jinsi jasusi anavyopata watoa habari nje ya nchi na kujipenyeza eneo kusudiwa.

👉 Majasusi kazini

👉 Changamoto zinazoukabili ujasusi/majasusi duniani

👉 Changamoto za ujasusi/majasusi Tanzania

👉 Mashirika maarufu ya ujasusi duniani na majasusi maarufu duniani
 
Tangazo la kitabu kipya kuhusu taaluma ya Ujasusi. Bei sh 45,000/= (free delivery jijini Dar, mikoani sh 5,000/=). Whatsapp/M-Pesa 0767-340-975
View attachment 2861269
Yaliyomo kitabuni

👉Maana ya ujasusi

👉 Historia ya Ujasusi

👉 Aina za Ujasusi

👉 Ujasusi wa kimtandao

👉Ujasusi kama nyenzo ya diplomasia

👉Ujasusi wa kidiplomasia

👉Kifuniko (cover) cha Jasusi

👉 Tofauti kati ya Ujasusi na Uafisa Usalama wa Taifa

👉 Majasusi wanapatikanaje?

👉Jinsi jasusi anavyopata watoa habari nje ya nchi na kujipenyeza eneo kusudiwa.

👉 Majasusi kazini

👉 Changamoto zinazoukabili ujasusi/majasusi duniani

👉 Changamoto za ujasusi/majasusi Tanzania

👉 Mashirika maarufu ya ujasusi duniani na majasusi maarufu duniani
Tumekutenga sana mkuu ngoja nichangie uzi,

Changamoto kubwa ni kwamba tukitaka kitabu unatupa location ya Zanzibar inamaana mjini Tz bara huna mtu wa kusambaza vitabu hivi kiongozi
 
Back
Top Bottom