QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Ndugu zangu wana JF,
Leo nimebahatika kupata kitabu hiki hivyo nikaona niwashirikishe. Hii si kwa sababu wengine wote hawajawahi kukiona wala kukinunua bali nahisi kuwa wengi hatujakipata. Huvyo naleta kwenu ili atakayekihitaji, ampigie mwandishi ili aweze kupata nakala ya Kitabu hiki.
Leo nimebahatika kupata kitabu hiki hivyo nikaona niwashirikishe. Hii si kwa sababu wengine wote hawajawahi kukiona wala kukinunua bali nahisi kuwa wengi hatujakipata. Huvyo naleta kwenu ili atakayekihitaji, ampigie mwandishi ili aweze kupata nakala ya Kitabu hiki.