Bazobonankira
Senior Member
- Jan 18, 2007
- 120
- 61
Wazww wa kazi,
Kuna kitabu nilipata kukisoma miaka tele hapo nyuma, kikiandikwa na Mkenya mmoja mtundu sana ambaye kwa bahati mbaya siwezi kukumbuka jina.
Kitabu hicho kinaitwa One By One, basically kinazungumzia binti ambaye alilaanika kwa vitendo vya ngono na hata kuogopwa katika jamii aliyokuwapo. Ilifika hata wakati akawa anaogopwa na watu kwa kuamini kuwa kukutana naye ni mkosi.
Mtindo wa uandishi ulikuwa wa kishairi zaidi.
Tafadhali sana kama kuna mwenye kumbukumbu na taarifa muhimu juu ya mwandishi na kitabu hicho kwa ujumla tusaidiane. Pia ikiwa kuna anyeweza kuweka nakala humu, abarikiwe sana.
Wasalaam!!
Bazooo
Kuna kitabu nilipata kukisoma miaka tele hapo nyuma, kikiandikwa na Mkenya mmoja mtundu sana ambaye kwa bahati mbaya siwezi kukumbuka jina.
Kitabu hicho kinaitwa One By One, basically kinazungumzia binti ambaye alilaanika kwa vitendo vya ngono na hata kuogopwa katika jamii aliyokuwapo. Ilifika hata wakati akawa anaogopwa na watu kwa kuamini kuwa kukutana naye ni mkosi.
Mtindo wa uandishi ulikuwa wa kishairi zaidi.
Tafadhali sana kama kuna mwenye kumbukumbu na taarifa muhimu juu ya mwandishi na kitabu hicho kwa ujumla tusaidiane. Pia ikiwa kuna anyeweza kuweka nakala humu, abarikiwe sana.
Wasalaam!!
Bazooo