Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Sasa kama mtu kapiga dili la 1.1B hizo milioni 200 kwake si anajikuna tu
Kwa kosa kama la kwake sheria ya Tanzania namba 12 ya mwaka 2006 ya anti money laundering sehemu ya 3 kifungu cha 12&13 adhabu yake ni kifungo kisichozidi miaka 10 na kutopungua miaka 5 jela au faini isiyozidi million 500 au kupungua million 100 za kitanzania.Mkuu hiyo ilikua ni mbinu tu ili apate hii hukumu yenye option ya faini au kifungo , nina uhakika anakusudia kulipa hiyo faini watachangishana wapigaji wote watamtoa magereza atarudi barabarani kuendelea kuwapiga wazungu.
Naifahamu hii shuhuli yao vema.
Ndama anajua hana namna...anakutaka huku nje vibaya. Anawakosa Yanga wakichezaAina mpya ya wahalifu waungwana, hawaisumbui Mhakama kwa kukataa makosa waliyotenda bali wanakiri. I wish na wezi wa serikalini walioingia mikataba ya madini na IPTL wangeiga mfano huu!
Mkuu kutakatisha sio wizi , si afadhali yy hiyo , mbona wanasiasa wanaingiza hasara mamilioni wanapewa adhabu kidogo au hawahukumiwi kabisa , kama unabisha ngoja tuone wanasiasa waliotuingiza king kwenye madinimtu katakatisha mabilion...ila faini milion 200 tu.. hata mwehu gani hapo analipa faini tu
Mrembo upo ? Mbona mkali hivyo ?Wewe ndio una akili ngumu....hujui kama akishindwa kulipa hiyo hela anaenda jela. Mleta mada kasema kasema either faini au miaka 5 jela. Swali ni kwamba amelipa?
Kufanya pesa ilitoka kwenye source A ionekane imetoka source B, yaani ilitokane shughuli isiyo halali unaifanya ionekane imetokana na shughuli halali , mf umeuza madawa ya kulevya then hiyo ukajenga guest na kupangisha ukapata pango , money laundering involves three stages placement , layering and integrations.kwa Leo naishia hapa nitafute siku nyingine tutaendeleaAdhabu faini 200m kwa kutakatisha 1.8bn. Ndio maana alikiri alishajua kitakachofuata.
Kama maximum penalty ni 500M na minimum ni 100M, hakimu kapiga 200M ili asionekane kavuta hela lakini hapo ana 200M yake imetulia huku ndama akisave 100M.Kwa kosa kama la kwake sheria ya Tanzania namba 12 ya mwaka 2006 ya anti money loundering sehemu ya 3 kifungu cha 12&13 adhabu yake ni kifungo kisichozidi miaka 10 na kutopungua miaka 5 jela au faini isiyozidi million 500 au kupungua million 100 za kitanzania.
MwanawasaMimi nilikuwa Zambia mkuu. Ni nani huyo tena?
Kuiba kwa utakatifu, siyo kuiba kiwiziwizi au kijambazijambazi.Mkuu kwani kutakatisha maana yake ni nini?
Hivi amekaa lupango kwa siku ngapi? Manake usijekuta hiyo miaka mitano imeshafika!mtu katakatisha mabilion...ila faini milion 200 tu.. hata mwehu gani hapo analipa faini tu
Kwaiyo bora angefungwa????Sheria za tanzania bana mtu kaiba mabilioni faini mil200?? Hii sheria inayosema hivi ina akili gani?? ndio maana ufisadi hauwezi isha nchi hii