cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,795
- 73,548
Kwa hilo itakuwa furaha kwa Ndama kwa kuachiwa bila shida, wanasheria wake walikaa vizuri kujua mapengo yapo wapi.. safi sana kwao
Kivingine, inamaanisha kwamba mchezo huu kumbe mtu anaweza kutoka kiurahisi hivi...
Naona watakamata na watakubali kosa, na mchezo utaendelea kama kawaida.
Huyo jaji duh!!!! au sijui ni sheria yetu kumbe bado bomu kabisaaaa
Serikali bado mna kazi kubwa sana kwenye mengi, mkitaka yasitendeke na ifunze wengine.
Kivingine, inamaanisha kwamba mchezo huu kumbe mtu anaweza kutoka kiurahisi hivi...
Naona watakamata na watakubali kosa, na mchezo utaendelea kama kawaida.
Huyo jaji duh!!!! au sijui ni sheria yetu kumbe bado bomu kabisaaaa
Serikali bado mna kazi kubwa sana kwenye mengi, mkitaka yasitendeke na ifunze wengine.