Mkuu habari haijakaa sawa. Je ni Diwani wa Kata na Chama Gani anatokea Halmashauri ipi?Diwani Kinyafu ametenguliwa udiwani wake baada ya kushindwa kesi ya uchaguzi.
Kasoro kadhaa zimeonekana kwenye kuhesabu kura. Asema atakata rufaa
Diwani Kinyafu ametenguliwa udiwani wake baada ya kushindwa kesi ya uchaguzi.
Kasoro kadhaa zimeonekana kwenye kuhesabu kura. Asema atakata rufaa.
Kata ya Saranga ipo Kimara katika Halmashauri ya Kinondono - Dar
Habari mbaya sana hii kwetu wanaukawa aiseeeDiwani wa chadema huyo huyo jimbo la kibamba kwa mnyika
Saranga ipo halmashauri ya Kinondoni,jimbo la uchaguzi la Kibamba sijui huyo diwani wa chama ganiMkuu habari haijakaa sawa. Je ni Diwani wa Kata na Chama Gani anatokea Halmashauri ipi?
Kwahiyo uchaguz utarudiwa ai watampa ushindi huyo aliyeshinda kesi?
Ukitaka kuamini jinsi tunavyo ichukia CCM waje kati waone kama watapata hata kura 2, na tena hatuna sukari,na mwendo kasi njooni kati muone sasa.Diwani Kinyafu ametenguliwa udiwani wake baada ya kushindwa kesi ya uchaguzi.
Kasoro kadhaa zimeonekana kwenye kuhesabu kura. Asema atakata rufaa.
Kata ya Saranga ipo Kimara katika Halmashauri ya Kinondono - Dar
Kama imeamuliwa uchagzi urudiwe aondoe shakaDiwani Kinyafu ametenguliwa udiwani wake baada ya kushindwa kesi ya uchaguzi.
Kasoro kadhaa zimeonekana kwenye kuhesabu kura. Asema atakata rufaa.
Kata ya Saranga ipo Kimara katika Halmashauri ya Kinondono - Dar
Ikiwa ni kurudia uchaguzi hata akienda magu kufanya kampeini hawezi kuambulia kitu na hicho kitu kiti kitaendelea kubakia CHADEMAhawezi pata uahindi wa mezani kama amesema kasoro nyingi za uhesabuji zilikuwepo, hapo uchaguzi utarudiwa na huyo diwani wa ccm ataaibishwa vibaya na wapiga kura
Unataka kutwambia kuwa hata wakichakachua haitasumbua?Ukitaka kuamini jinsi tunavyo ichukia CCM waje kati waone kama watapata hata kura 2, na tena hatuna sukari,na mwendo kasi njooni kati muone sasa.
Tuliza ball uone tutakcho wafanya hawa kwenye sanduku la kura..