Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Wadau:
Sijui kama na shule nyingine kuna tatizo kama hili:-
Binti yangu amemaliza kidato cha nne "Kisutu Girls" mwezi huu na Graduation ilikuwa tarehe 26 Oct 2010. Kama ilivyo kawaida wamepewa "clearance forms" kwa ajili ya kuhakiki kama kuna kitu mtoto anadaiwa na shule au ana tatizo lolote of a sort. Sina shida na hizo forms
Tatizo langu ni kuwa kila siku binti yangu amekuwa akienda shule kutafuta waalimu husika ku-sign hiyo form na kibaya zaidi kuna siku anarudi bila kumpata hata mwalimu mmoja ku-sign hiyo form.
Hii inamchosa my dear daughter na mimi inanigharimu maana anapanda mabasi mawili hadi kufika posta!
Kama walimu wa Kisutu mpo hapa jamvini naomba muwe waungwana! Mtoto anahitaji kupumzika na kjipanga kwa ajili ya masomo yake ya baadaye!
Sijui kama na shule nyingine kuna tatizo kama hili:-
Binti yangu amemaliza kidato cha nne "Kisutu Girls" mwezi huu na Graduation ilikuwa tarehe 26 Oct 2010. Kama ilivyo kawaida wamepewa "clearance forms" kwa ajili ya kuhakiki kama kuna kitu mtoto anadaiwa na shule au ana tatizo lolote of a sort. Sina shida na hizo forms
Tatizo langu ni kuwa kila siku binti yangu amekuwa akienda shule kutafuta waalimu husika ku-sign hiyo form na kibaya zaidi kuna siku anarudi bila kumpata hata mwalimu mmoja ku-sign hiyo form.
Hii inamchosa my dear daughter na mimi inanigharimu maana anapanda mabasi mawili hadi kufika posta!
Kama walimu wa Kisutu mpo hapa jamvini naomba muwe waungwana! Mtoto anahitaji kupumzika na kjipanga kwa ajili ya masomo yake ya baadaye!