Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,465
- 11,234
Habari ya muda huu wakuu..
Leo nitatoa dodoso dogo linalozungumzia histori,na maelezo ya vivutio mbalimbali vinavyopatikana kisiwa kidogo kilivhopo maili 4 kutoka unguja. Kisiwa hiki kinaitwa Changuu au Prisona au kisiwa Cha Kobe.
Kisiwa Cha prisona kilianza kujulikana hivyo, kuanzia mwanzoni mwa mwaka 1890. Kisiwa ambacho kilijengwa majengo na koloni la muingereza kitumike kama gereza lakini hakikuwa gereza na hatimae majengo yake yalitumika kama hospitali kati ya 1899 mpaka 1930s.
HISTORIA
Mfalme wa kwanza wa Zanzibar alikitwaa kisiwa hiki na alikitoa kama zawadi kwa wafanya biashara wakubwa wa biashara ya watumwa ambapo kisiwa kilitumika kama reserve ya watumwa. Watumwa walifika hapa na kupunzishwa wakisubir kwenda kuuzwa huko stone town.
Kufuatia kufungua kwa biashara ya utuwa 1870s kisiwa huku kikabaki kuwa tupu. Mwaka 1885 koloni la uingereza lilifanikiwa kutwaa afrika mashariki na kufanya kuwa chini ya utwala wake hivyo Zanzibar yote ikawa chini ya uingereza. Muingereza katika utwala wake alijenga magereza machache sana katika upwa wa pwani ya unguja, HISTORIA inaonesha magereza yaliongezwa Kati ya miaka ya 1920s hasa, gereza kubwa la Kilimani.
Uchache wa magereza haya miaka hii ya 1885-1892, ulipekea wafungwa kusongamana sana na mwaka 1895 uongozi wa kisiwa hiki ulipokea ugeni wa Lloyd Mathew ambayr alikuwa ni waziri wa kwanza wa utawala wa Uingereza kwa Zanzibar. Yeye aliona hali mbaya kwa wafungwa, msongamano ukitishia afya na kuondoa utu. Akapendekeza kujengwe gereza lingine, kisiwa Cha CHANGUU kikapendekezwa na ujenzi ukaanza.
**********************
Kutokana na mvuto wa hali ya hewan na utulivu wa hiki kisiwa. Ujenzi huu ulikumbwa na sitofahamu kubwa ya muingiliano mkubwa wa wakaguzi na wazungu wengine walifika hapa. Wakaanza kuyatumia majengo yaliyopo kama lodge au makazi ya kujichimbia. Hivyo, ujenzi ukiwa unaendelea, bangalow zikaanza kutumika. Kufikia mwaka 1896-7 kisiwa kikawa kina muingiliano mkubwa wa watu wanaokitrmbela kila wiki.
Leo nitatoa dodoso dogo linalozungumzia histori,na maelezo ya vivutio mbalimbali vinavyopatikana kisiwa kidogo kilivhopo maili 4 kutoka unguja. Kisiwa hiki kinaitwa Changuu au Prisona au kisiwa Cha Kobe.
Kisiwa Cha prisona kilianza kujulikana hivyo, kuanzia mwanzoni mwa mwaka 1890. Kisiwa ambacho kilijengwa majengo na koloni la muingereza kitumike kama gereza lakini hakikuwa gereza na hatimae majengo yake yalitumika kama hospitali kati ya 1899 mpaka 1930s.
HISTORIA
Mfalme wa kwanza wa Zanzibar alikitwaa kisiwa hiki na alikitoa kama zawadi kwa wafanya biashara wakubwa wa biashara ya watumwa ambapo kisiwa kilitumika kama reserve ya watumwa. Watumwa walifika hapa na kupunzishwa wakisubir kwenda kuuzwa huko stone town.
Kufuatia kufungua kwa biashara ya utuwa 1870s kisiwa huku kikabaki kuwa tupu. Mwaka 1885 koloni la uingereza lilifanikiwa kutwaa afrika mashariki na kufanya kuwa chini ya utwala wake hivyo Zanzibar yote ikawa chini ya uingereza. Muingereza katika utwala wake alijenga magereza machache sana katika upwa wa pwani ya unguja, HISTORIA inaonesha magereza yaliongezwa Kati ya miaka ya 1920s hasa, gereza kubwa la Kilimani.
Uchache wa magereza haya miaka hii ya 1885-1892, ulipekea wafungwa kusongamana sana na mwaka 1895 uongozi wa kisiwa hiki ulipokea ugeni wa Lloyd Mathew ambayr alikuwa ni waziri wa kwanza wa utawala wa Uingereza kwa Zanzibar. Yeye aliona hali mbaya kwa wafungwa, msongamano ukitishia afya na kuondoa utu. Akapendekeza kujengwe gereza lingine, kisiwa Cha CHANGUU kikapendekezwa na ujenzi ukaanza.
**********************
Kutokana na mvuto wa hali ya hewan na utulivu wa hiki kisiwa. Ujenzi huu ulikumbwa na sitofahamu kubwa ya muingiliano mkubwa wa wakaguzi na wazungu wengine walifika hapa. Wakaanza kuyatumia majengo yaliyopo kama lodge au makazi ya kujichimbia. Hivyo, ujenzi ukiwa unaendelea, bangalow zikaanza kutumika. Kufikia mwaka 1896-7 kisiwa kikawa kina muingiliano mkubwa wa watu wanaokitrmbela kila wiki.