Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 2,642
- 3,193
Hiyo sio kiasiliVp mashoga au wasagaji wakiridhiana ...nayo sio zambi?
Kuna mtu anaumia kwa raha ya mmojawapo, ni kinyume na upendo.
Mashoga husababishiana upungufu wa kinga mwilini.
Ni sawa na mtu kujiua ni kinyume kabisa na asili na mpango wa Mungu. Na ushahidi wake kibaiolojia upo dhahiri. Kukosa utii kwa Mpango wa Mungu ni dhambi