THE JAGGERS
JF-Expert Member
- Apr 3, 2023
- 444
- 294
me pia mkuuNaomba unitumie pm mkuu
me pia mkuuNaomba unitumie pm mkuu
Shusha mkuu
shusha uzi uishii huu,wapo wadau wengi wa hizi muvi.
hizi ndio muvi napenda kuishi nazo.
Umetisha mkuu. Na kuna movie inaitwa the messengers nayo inakisa cha kuogofya kwenye nyumba za nje ya mji
Mkuu Bora umerudi kitambo sana aisee movie kaliii sana hizi
Siangaliagi horror ila namna unavyosimulia nimetamani kuzitafuta zote
Mkuu umetisha sana
Tuendelee na kisa kingine hapo juu.Bwana Steve naona umerejea vizuri,
Najua huo msala aisee. Sio poa. Kuna El Cuerpo. Unaipata?Image ya kwanza juu kidogo ifanane na ya 'Jane Doe', mhusika maiti kwenye filamu ya kutisha iitwayo 'The Autopsy of Jane Doe (2016)'.
Weka mbali na watoto.
Naomba unitumie pm mkuu
Poa.me pia mkuu
Hii hapana. Ingawa mie ni mtazamaji mzuri wa horror movies ila nimeegemea zaidi za Marekani.Najua huo msala aisee. Sio poa. Kuna El Cuerpo. Unaipata?
Ukitazama, hutajutia.Hii hapana. Ingawa mie ni mtazamaji mzuri wa horror movies ila nimeegemea zaidi za Marekani.
Namimi kaka kama hutojalPoa.
weka vitu meneja,kuna mauwa yenu spesho mtakutana nayo💪Tuendelee na kisa kingine hapo juu.
kweli mkuuNakumbuka 2003 -2006 ndio ilikuwa na trending ya horror movies
Dunia nzima kila movie inayotoka ilikuwa ya kutisha kama
Ghost Ship
SAW
White Noise
Hills have Eyes
Wrong Turn
Final Destination 2
Texas Chainsaw Massacre
weka vitu meneja,kuna mauwa yenu spesho mtakutana nayo
Namimi kaka kama hutojal
me pia mkuu
Bwana Steve naona umerejea vizuri,
Siangaliagi horror ila namna unavyosimulia nimetamani kuzitafuta zote
Mkuu umetisha sana
Naomba unitumie pm mkuu
shusha uzi uishii huu,wapo wadau wengi wa hizi muvi.
Tuendelee na kisa kingine hapo juu.Shusha mkuu
yupo sahihi acha tupate burudani na sisi wadau wa jf,ukute huyo wa mtandao X ndio huyu kaleta na huku.Huu uzi niliuona X ndio ww unayesimulia??
Yes. Kule napatikana kwa handle ya Nyuzi Kali.Huu uzi niliuona X ndio ww unayesimulia??
Hii ni movie, acha kukremu.