Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
Umri wa umaarufu wa kisiasa wa Mh Kafulila ni mdogo kuliko umri wa NCCR Mageuzi...........muktadha hapani kwamba Mh alipohamia NCCR yamkini alitambua hilo kwamba mwenyekiti anayekwenda kujiunga naye ni kibaraka wa CCM kwamaneno mengine alijuya kabisa anakwenda kujiunga na CCM C.........cha kutuaminisha hapa ni kwamba huenda hakuona kimbilio lingine zaidi ya NCCR, vinginevyo ni mazungumzo baada ya habari.......hata hivyo naona ana msomamo thabiti na Mwenyezi Mungu amjalie autetee........