Kiranga anatoa sadaka na anaamini stori za majini lakini haamini uwepo wa Mungu

Ndio, ukiwa unafanya anakuona. Hivyo anakuona na kujua mwisho wako.
Vizuri sana unajileta mwenyewe.

Hivyo hategemei nifanye tofauti na alichokiona maana bila shaka anayoyaona ni ya uhakika.

Sasa huo uhuru unanisaidia nini ikiwa nitakachoenda kufanya ashakiona hata kabla hajaniumba? Maana alichokiona kuwa nirafanya hakiwezi kubadilika. Kikibadilika basi bila shaka atakuwa sio mjua yote alishndwa kujua ya baadae juu yangu.
 
Vizuri sana unajileta mwenyewe.

Hivyo hategemei nifanye tofauti na alichokiona maana bila shaka anayoyaona ni ya uhakika.

Sasa huo uhuru unanisaidia nini ikiwa nitakachoenda kufanya ashakiona hata kabla hajaniumba? Maana alichokiona kuwa nirafanya hakiwezi kubadilika. Kikibadilika basi bila shaka atakuwa sio mjua yote alishndwa kujua ya baadae juu yangu.
Anayoyaona ni uhakika kwa kadiri ya uchaguzi wako. Anakuona kwa namna unavyofanya uchaguzi wa maisha gani uishi.

Unajua tricky Iko wapi? Leo hii ukiamua kubadilika na kumtambua na kumfuata ndio exactly alichokiona tangu unazaliwa. Vivyo hivyo ukiwa unaendelea kumpinga saa hizi kwa uhuru ulionao ndio exactly alichokiona tangu unazaliwa.

Hauna namna utambishia kwamba hiki sio ulichokiona.

So ndugu nafaka, anakuona Sasa, anakuona 2030. Hakupangii. Anaona kile unachochagua. Na hivyo anajua mwisho wako utakavyokuwa tangu saa hizi.
 
Unajua tricky Iko wapi? Leo hii ukiamua kubadilika na kumtambua na kumfuata ndio exactly alichokiona tangu unazaliwa. Vivyo hivyo ukiwa unaendelea kumpinga saa hizi kwa uhuru ulionao ndio exactly alichokiona tangu unazaliwa.
Hapo ndipo swali lilipo, huo uhuru gani ulionao wakati kabla hajakuumba alijua utampinga na bado akakuumba na inasemekana amekupa uhuru wakati anajua wazi kuwa huwezi kuutumia kufanya tofauti na alichokwisha kiona? So alikuumba akijua utamkosea halafu akupunish, same logic ina apply kwa akina adam na eve kumbe alijua watamkosea tu.
 
Mungu anao uhuru wa kuchagua afanye nini juu ya kile anachomiliki ikiwa ni pamoja na wanadamu.

Mungu hakuadhibu bali anakupa sawasawa na jinsi ulivyochagua. Ameelekeza mamna ya kufanya ili usikutane na matokeo usiyoyapenda.

Amesharekebisha ni wewe tu kuchagua. Atauondoa uovu na makosa yote katika ulimwengu ujao.
lakini mkuu mungu anawezesha kila kitu
kwa nini aniadhibu kwa kufanya dhambi
wakati kaniwezesha kuifanya dhambi?
aana anasema hakuna kitu kimachofanyika bila uwepo wake
 
Hapo ndipo swali lilipo, huo uhuru gani ulionao wakati kabla hajakuumba alijua utampinga na bado akakuumba na inasemekana amekupa uhuru wakati anajua wazi kuwa huwezi kuutumia kufanya tofauti na alichokwisha kiona?
Kumbuka anajua kwasababu yeye anakuona ukiwa unafanya. Sio kwamba amekuweka kama program ambayo lazima iwe alivyoiweka. Anakuona unavyotumia uhuru wako.
 
lakini mkuu mungu anawezesha kila kitu
kwa nini aniadhibu kwa kufanya dhambi
wakati kaniwezesha kuifanya dhambi?
aana anasema hakuna kitu kimachofanyika bila uwepo wake
Mungu amekuwezesha kufuata maelekezo yake. Ni wapi Mungu anakuwezesha kufanya dhambi?

Mfano, uwepo wa Mungu upo kila mahali lakini amekupa uhuru wa kuchagua nini cha kufanya. Ukifanya kibaya ni uchaguzi wako.
 
Haifuti kuwa huko kukuona ukiwa unafanya anakuona kabla hajakuumba... Hivyo anamalizia kwa kukuumba ukamalizie alichokiona ili aje akuadhibu.
Lakini utakuwa umefanya kwa uhuru wako kwasababu yeye anakuona sawasawa na unavyochagua kuishi.

Pia kumbuka Mungu anamiliki dunia na kila kitu ndani yake hivyo anao uhuru wa kuchagua nini afanye na nini asifanye.
 
Lakini utakuwa umefanya kwa uhuru wako kwasababu yeye anakuona sawasawa na unavyochagua kuishi.

Pia kumbuka Mungu anamiliki dunia na kila kitu ndani yake hivyo anao uhuru wa kuchagua nini afanye na nini asifanye.
Hiyo ina maana anaruhusu ubaya utokee, maana alimuona shetani kabla hajamrubuni mwanadamu, na bado akamuumba na kumpa uwezo mkubwa sana wakumrubuni mwanadamu. Halafu mwisho wa siku akamuadhibu mwanadamu akiyemuumba akijua atarubuniwa na shetani aliyemuumba yeye.

My head is spinning.

Anyway kwa kifupi mimi si kwamba siamini kama Mungi yupo, ila mimi nina imani yangu binafsi juu yake ambayo haifanani na ya dhehebu lolote.
 
Hiyo ina maana anaruhusu ubaya utokee, maana alimuona shetani kabla hajamrubuni mwanadamu, na bado akamuumba na kumpa uwezo mkubwa sana wakumrubuni mwanadamu. Halafu mwisho wa siku akamuadhibu mwanadamu akiyemuumba akijua atarubuniwa na shetani aliyemuumba yeye.

My head is spinning.

Anyway kwa kifupi mimi si kwamba siamini kama Mungi hayupo, ila mimi nina imani yangu binafsi juu yake ambayo haifanani na ya dhehebu lolote.
Kwasababu wewe unaamini uwepo wa Mungu then ni rahisi sana. Kwenye haya maswali ambayo bado yanakutatiza, muombe akupe ufahamu wa kuyaelewa.

Ni maswali mazuri kwa kila anayemwamini Mungu kujiuliza.
 
Hiyo ina maana anaruhusu ubaya utokee, maana alimuona shetani kabla hajamrubuni mwanadamu, na bado akamuumba na kumpa uwezo mkubwa sana wakumrubuni mwanadamu. Halafu mwisho wa siku akamuadhibu mwanadamu akiyemuumba akijua atarubuniwa na shetani aliyemuumba yeye.

My head is spinning.

Anyway kwa kifupi mimi si kwamba siamini kama Mungi yupo, ila mimi nina imani yangu binafsi juu yake ambayo haifanani na ya dhehebu lolote.
Jaribu kusoma na Biblia Mkuu kuna kitu utakipata..Japo haupo pabaya
Yesu alisema hata ukiwa na imani ndogo mithili ya mbegu unaweza kuamuru mlima ung'oke na ujitose baharini na ukatii.
 
Naomba uniambie wewe ili tuwe page moja.
Mnatiki isiyojipinga.

Kwa mfano, usiniambie Mungu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Na aliweza kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na mabaya.

Halafu, akaumba ulimwengu a,mbao mabaya yanawezekana kuwepo.

Hiyo habari ina logical inconsistency na contradiction.

Mungu huyo habari yake ina mushkeli.
 
Jaribu kusoma na Biblia Mkuu kuna kitu utakipata..Japo haupo pabaya
Yesu alisema hata ukiwa na imani ndogo mithili ya mbegu unaweza kuamuru mlima ung'oke na ujitose baharini na ukatii.
Biblia ina contradictions kibao, na hivyo si kitabu cha authority kwa watu wanaotumia mantiki.
 
Nithibitishe ili iweje? so what? What purpose does it serve?

Thibitisha wewe ni mwanamke!
Thibitisha ili tujue Mungu yupo kweli na habari za kuwepo kwake si hadithi za watu tu.

Mimi sijawahi kusema mimi ni mwanamke, na hivyo sina mzigo wa kuthibitisha hilo.
 
Back
Top Bottom