Tulishamkosea tangu tulipofuata mabaya na kuyaacha mema...Mungu hasubiri makosa kukuadhibu kwa sababu hausiki na maovu...na hakuna adhabu nyengine zaidi ya kifoKwahiyo unakubaliana na mimi nikisema anajua kuwa utamkosea hata kabla ya kukuamba na bado anakuumba ukosee akuadhibu?
Anajua predestination kwa ajili yako na anajua mwanzo hadi mwisho. Anajua unavyofanya sasa, anajua ulivyofanya kabla na anajua utakavyofanya siku zijazo.Kwahiyo hana uhakika na mwisho wako ndio maana anahisi kuna uwezekano wa kunadilika?
🤣🤣
Kwahiyo alipotuumba alijua kuwa tutamkosea au sio? Maana anajua mwanzo na mwisho. Lakini bado akatuumba ili tumkosee?Tulishamkosea tangu tulipofuata mabaya na kuyaacha mema...Mungu hasubiri makosa kukuadhibu kwa sababu hausiki na maovu...na hakuna adhabu nyengine zaidi ya kifo
Kwa maana hiyo hategemei wewe kubadilika ukaenda tofauti na mwisho wako anaoujua?Anajua predestination kwa ajili yako na anajua mwanzo hadi mwisho. Anajua unavyofanya sasa, anajua ulivyofanya kabla na anajua utakavyofanya siku zijazo.
Kwa nini?Nijibu kwanza swali langu halafu tuendelee...
Mungu hakukuumba ili umkosee soma mwanzo uelewe lengo la wewe kuwa duniani..Pia Biblia inasema Mungu hawezi jaribu mtu kwa uovu na yeye hajaribiwi na kitu chochoteKwahiyo alipotuumba alijua kuwa tutamkosea au sio? Maana anajua mwanzo na mwisho. Lakini bado akatuumba ili tumkosee?
Nimekuuliza wewe muamini.Mungu hakukuumba ili umkosee soma mwanzo uelewe lengo la wewe kuwa duniani..Pia Biblia inasema Mungu hawezi jaribu mtu kwa uovu na yeye hajaribiwi na kitu chochote
Labda charitable ya ushuzi!Kwa hivyo mtu asiyeamini Mungu hawezi kuwa charitable?
Ndio JF mkuu.Kwa hiyo mnabishana ili
Watu wafuatilie sio?
Unajifanya una akili nyingi za kujenga hoja uchwara?Nimekuuliza wewe muamini.
Mungu anajua mwanzo na mwisho wa kila kitu. Ikiwa ina maana hata alipomuumba Eva alijua atandanganywa na nyoka ambaye kamuumba yeye pia, halafu Eva atadanganyika amshawishi Adam ambaye naye kamuumba yeye, halafu watende dhambi. Alijua hili au hakujua?
Ukimaliza kutukana jibu maswali yangu maana kutukana hakujatoa majibu otherwise na wewe umeunga tela kwa jambo ambalo hulielewi ndio maana huna majibu.Unajifanya una akili nyingi za kujenga hoja uchwara?
Wewe mzoga unayesuburi kifo unaweza kujadili nini kuhusu nguvu uliyoumba Mbingu na nchi!
Unapumua na kujamba tu pwiiih pwiiihh kwa raha zako, unatuchafulia oxygen ambayo hujui hata imetoka wapi!
Hujanijibu swali narudia tena nimeuliza hiviAnakuona wewe ukiwa unafanywa. Anajua unavyofanya na anajua utakavyofanya. Hivyo wewe unachagua na yeye anakuona ukichagua.
Tulia wewe maiti unayesubiri kifo!Ukimaliza kutukana jibu maswali yangu maana kutukana hakujatoa majibu otherwise na wewe umeunga tela kwa jambi ambalo hulielewi ndio maana huna majibu.
Sote tutatafunwa na udongo huo ni uhakika tulionao.Tulia wewe maiti unayesubiri kifo!
Na huo udongo utakutafuna mpaka ubaki vumbi ili ujue kweli hii dunia imewekwa na HAIJAJIWEKA.
Endelea kula popcorn na kuvuta oxygen!
Yote haya Mungu aliyaona huyo Eva, nyoka na Adamu walivyoamua. Aliliona tukio hili kabla na aliliona lilipofanyika na alilitafutia suluhisho.Nimekuuliza wewe muamini.
Mungu anajua mwanzo na mwisho wa kila kitu. Ikiwa ina maana hata alipomuumba Eva alijua atandanganywa na nyoka ambaye kamuumba yeye pia, halafu Eva atadanganyika amshawishi Adam ambaye naye kamuumba yeye, halafu watende dhambi. Alijua hili au hakujua?
Kwa nini mtu asiyeamini Mungu hawezi kuwa charitable?Labda charitable ya ushuzi!
Wewe uliyekuwa tone la shahawa unapata ujasiri wa kusema hakuna Mungu?
Come on!
So kumbe aliumba hivi viumbe vyote akijua kuwa vitamkosea? Akajua mwisho wake utakuwaje?Yote haya Mungu aliyaona huyo Eva, nyoka na Adamu walivyoamua. Aliliona tukio hili kabla na aliliona lilipofanyika na alilitafutia suluhisho.
Yote haya yalikuwa maamuzi ya hao viumbe. Alichotaka Mungu walikijua na wakaamua kuasi.