POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
kituo cha Television cha ITV kimerudisha kipindi maalum cha "malumbano ya hoja" kipindi naweza kusema kipya tofauti na kile cha zamani 1990s, kuna tofauti kubwa . anyway.... Hoja ya leo ni kuwa UMASIKINI TANZANIA NI LAANA?
nimefurahia kipindi hiki , mosi kuwa LIVE pia wachangiaji.
my take: wana JF tutumia pia hilo " Jukwaa" la malumbano ya hoja on ITV kama mtu anapata Time better to be there ...... Aluta cont`
nimefurahia kipindi hiki , mosi kuwa LIVE pia wachangiaji.
my take: wana JF tutumia pia hilo " Jukwaa" la malumbano ya hoja on ITV kama mtu anapata Time better to be there ...... Aluta cont`