figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
...sherehe za Muungano zitafanyika kesho zanzibar,lakini cha ajabu hakutakuwa na hotuba kutoka kwa rais wa Mungano zaidi ya kupigiwa mizinga,kukagua gwalide,gwalide kupita kwa mwendo wa halaka na polepole mbele ya Rais wa muungano na kuangalia vikundi mbalimbali vya ngoma.waheshimiwa watakuwa wanatambulishwa kulingana na wanavyoingia.sijajua kama kutakuwa na sherehe fupi ya Muungano jioni pale ikulu.
Wangetumia nafasi hii kuzungumzia katiba,ufisadi na muungano.lakini hamna kitu kama hicho.
Wangetumia nafasi hii kuzungumzia katiba,ufisadi na muungano.lakini hamna kitu kama hicho.