Naandika haya nikitafakari maduduku, malalamiko ya wananchi hususani wazanzibari kwa upande mmoja kwamba muungano unanyonya/unakwaza na kufifisha maendeleo ya sehemu hii ya muungano n kwa upande wa pili wa baadhi ya watanganyika wameanza kupoteza uvumilivu na malalamiko ya wazanzibari wakati wao wakiamini kwamba wamekuwa wanabebeshwa mzingo ambao hawastahili(umeme wa bure,kodi zisizolingana, mgawanyo wa mapato usistahili etc). Katika haya manunguniko yote serikali zote za ccm zimekuwa ziweka masuala ya kero za muungano kazi ya kufanywa na serikali itakayo kuja.
Ni lazima tukubali kwamba ni bora kuuzungumza muungano na kero zake mapema ilitujue kama tunaweza kuuokoa katika hali dhairi ya kuweza kuvunjika au ni vipi tunaweza kuuboresha.
Mimi nina mawazo na mawazo haya ni mpango wa muda wa miaka kumi- tuuite transition period wa kuutafakali kama kweli kuna faida za wazi za muungano huu au hakuna na hivyo tuuvunje. Katika kipindi hichi cha transition napendekeza haya yafanyike:
1.Zanzibar iruhusiwe kukusanya kodi zake zote pamoja na kodi ya makapuni chini ya TRA-ZnZ kwa uangalizi wa TRA-Muungano
2.Zanzibar ighalimie kuendeshwaji wa serikali yake bila kusaidiwa na serikali ya muungano
3.Zanzibar ilipie bei harisi ya umeme kutoka bara na ilipe kwa muda unaotakiwa na ikichelewa watozwe riba
4.Bidhaa zote zinazotoka zanzibar kuingizwa bara zilipe kodi kwa mfumo wa EA custom union. Hivyo hivyo bidhaa zote zinazotoka bara kwenda znz ziattract same kodi
5.Baraza la wawakilishi lipewe mamlaka chini ya waziri wa fedha ya kupanga, kukusanya na kutumia kodi
6.Wizara za muungano za ulinzi, mambo ya nje na mambo ya ndani zibaki chini ya serikali ya muungano katika kipindi cha mpito kwa nia njema ya kulinda usalama na sera ya mambo ya nje kabla uamuzi wa mwisho
7.Ifanyike sensa ya wanzanzibari wote wa bara na visiwani kwa kupata record sahihi. Vile vile ifanyike sensa ya wabara na hizi ziwe katika daftari tofauti
8. Kufanya referrendum baada ya kipindi hiki cha mpito kama walivyo fanya sudani ya kusini kuhusu hatma ya muungan na kura ya wanzanzibari iwe ndiyo final say wakati kura ya wa bara iwe kwaajiri ya rekodi - sio na uamuzi katika hatma ya kujitenga au kutojitenga.
9. Matokeo ya kura yaheeshimiwe na pande zote na iwapo kura ya wanzanzibari itaamua kuvunja muungano uwekwe mchakato wa kuzitoa raslimali za zanzibar kwenye muungano na mwishowe muungano uvunjwe.
Ni mawazo yangu katika kipindi hiki cha mpito watanganyika na wazanzibari wakuwa wameona, wamepima na kubaini kama kuna faida au hakuna katika muungano!
Ni lazima tukubali kwamba ni bora kuuzungumza muungano na kero zake mapema ilitujue kama tunaweza kuuokoa katika hali dhairi ya kuweza kuvunjika au ni vipi tunaweza kuuboresha.
Mimi nina mawazo na mawazo haya ni mpango wa muda wa miaka kumi- tuuite transition period wa kuutafakali kama kweli kuna faida za wazi za muungano huu au hakuna na hivyo tuuvunje. Katika kipindi hichi cha transition napendekeza haya yafanyike:
1.Zanzibar iruhusiwe kukusanya kodi zake zote pamoja na kodi ya makapuni chini ya TRA-ZnZ kwa uangalizi wa TRA-Muungano
2.Zanzibar ighalimie kuendeshwaji wa serikali yake bila kusaidiwa na serikali ya muungano
3.Zanzibar ilipie bei harisi ya umeme kutoka bara na ilipe kwa muda unaotakiwa na ikichelewa watozwe riba
4.Bidhaa zote zinazotoka zanzibar kuingizwa bara zilipe kodi kwa mfumo wa EA custom union. Hivyo hivyo bidhaa zote zinazotoka bara kwenda znz ziattract same kodi
5.Baraza la wawakilishi lipewe mamlaka chini ya waziri wa fedha ya kupanga, kukusanya na kutumia kodi
6.Wizara za muungano za ulinzi, mambo ya nje na mambo ya ndani zibaki chini ya serikali ya muungano katika kipindi cha mpito kwa nia njema ya kulinda usalama na sera ya mambo ya nje kabla uamuzi wa mwisho
7.Ifanyike sensa ya wanzanzibari wote wa bara na visiwani kwa kupata record sahihi. Vile vile ifanyike sensa ya wabara na hizi ziwe katika daftari tofauti
8. Kufanya referrendum baada ya kipindi hiki cha mpito kama walivyo fanya sudani ya kusini kuhusu hatma ya muungan na kura ya wanzanzibari iwe ndiyo final say wakati kura ya wa bara iwe kwaajiri ya rekodi - sio na uamuzi katika hatma ya kujitenga au kutojitenga.
9. Matokeo ya kura yaheeshimiwe na pande zote na iwapo kura ya wanzanzibari itaamua kuvunja muungano uwekwe mchakato wa kuzitoa raslimali za zanzibar kwenye muungano na mwishowe muungano uvunjwe.
Ni mawazo yangu katika kipindi hiki cha mpito watanganyika na wazanzibari wakuwa wameona, wamepima na kubaini kama kuna faida au hakuna katika muungano!