Kipindi cha kampeni cha magufuli alisema Kwa uchungu juu Ya mateso Ya wanafunzi wanayoyapata kwenye bodi Ya Mikopo

cluster ndara

JF-Expert Member
Apr 1, 2018
211
318
Wakuuu nakumbuka Wakati mheshimiwa anazunguka kuomba kura alizungumzia suala la Mikopo Ya wanafunzi wa Elimu Ya juu, huyu mheshimiwa alikerwa Sana na wanafunzi kukosa Mikopo na kubaguriwa katika kupata Mikopo ikiwa ni pamoja na kucheleweshewa kupata Mikopo aliongea kuonesha anakerwa na akasema akiingia madarakani atawashughulikiwa hao wanaojiiita wakurugenzi wa bodi Ya Mikopo na alisema Hakuna mwanafunzi atakaekosa Mikopo alipoingia madarakani tulisema watendaji wa bodi Ya Mikopo kwisha habari yao, na kweli Mwaka Wa kwanza alijitahid kutoa Mikopo Kwa wanafunzi wengi. Lakini gafla inaonekana kabadili gia angani na kuonesha Ubaguzi wa Hali ya juuu wa kutoa Mikopo inaonesha kabisa kuwa sasa wanafunzi watateseka Kwa kiasi kikubwa tofauti na awamu zote zilizopita na Ubaguzi wa sasa ni mkubwa na unahatarisha hadi utaifa eti ukiwa na leseni Mtoto wako hapati au Mtoto Akiwa kasoma shule binafsi ndio basi na inaonesha hata tunakoenda kwenye ajira atabagua tu
Wakuuu hiii imetokana na nini? Na je Kama taifa tunaelekea wapi? Huyu dereva anania gani? Je watu wataweza kufika salama? Maaana kuna wengne wanawaza kuruka kwenye hili gari
 
Dereva Alishasema msimpangie

IMG_20180511_135224.jpg
 
Wakuuu nakumbuka Wakati mheshimiwa anazunguka kuomba kura alizungumzia suala la Mikopo Ya wanafunzi wa Elimu Ya juu, huyu mheshimiwa alikerwa Sana na wanafunzi kukosa Mikopo na kubaguriwa katika kupata Mikopo ikiwa ni pamoja na kucheleweshewa kupata Mikopo aliongea kuonesha anakerwa na akasema akiingia madarakani atawashughulikiwa hao wanaojiiita wakurugenzi wa bodi Ya Mikopo na alisema Hakuna mwanafunzi atakaekosa Mikopo alipoingia madarakani tulisema watendaji wa bodi Ya Mikopo kwisha habari yao, na kweli Mwaka Wa kwanza alijitahid kutoa Mikopo Kwa wanafunzi wengi. Lakini gafla inaonekana kabadili gia angani na kuonesha Ubaguzi wa Hali ya juuu wa kutoa Mikopo inaonesha kabisa kuwa sasa wanafunzi watateseka Kwa kiasi kikubwa tofauti na awamu zote zilizopita na Ubaguzi wa sasa ni mkubwa na unahatarisha hadi utaifa eti ukiwa na leseni Mtoto wako hapati au Mtoto Akiwa kasoma shule binafsi ndio basi na inaonesha hata tunakoenda kwenye ajira atabagua tu
Wakuuu hiii imetokana na nini? Na je Kama taifa tunaelekea wapi? Huyu dereva anania gani? Je watu wataweza kufika salama? Maaana kuna wengne wanawaza kuruka kwenye hili gari
Wewe hukumwelewa JPM ndiyo maana unapost uongo
 
Jpm zaidi ya katili hakiamungu na kwambia kwenye kuongea yupo tofauti na vile anavyotenda.Kipindi kile alisema mtu unakataa kumpa mkopo tena wenyewe mkopo kwa maana kuwa atarudisha na rasilimali ni za watanzania wote.Hayo ni maneno ya Jpm ila now mm nashangaa kwa hv anavyofanya.

Mtu ukiwa na leseni ya biashara inaonekana mfanya biashara mkubwa unaweza kumlipia toto wako ada,mtumishi wa serikali wengne mshahara chini ya laki tano eti anajiweza,jamani rais imekuaje amechanganyikiwa namna hii hata kama pesa hana asiwabaguwe watoto wa maskini namna hiyo jamani.Mm sio mpinzani ila ni mtumishi wa serikali ila maisha ni magum mnoo na anajua vipato vya watumishi.
 
Wakuuu nakumbuka Wakati mheshimiwa anazunguka kuomba kura alizungumzia suala la Mikopo Ya wanafunzi wa Elimu Ya juu, huyu mheshimiwa alikerwa Sana na wanafunzi kukosa Mikopo na kubaguriwa katika kupata Mikopo ikiwa ni pamoja na kucheleweshewa kupata Mikopo aliongea kuonesha anakerwa na akasema akiingia madarakani atawashughulikiwa hao wanaojiiita wakurugenzi wa bodi Ya Mikopo na alisema Hakuna mwanafunzi atakaekosa Mikopo alipoingia madarakani tulisema watendaji wa bodi Ya Mikopo kwisha habari yao, na kweli Mwaka Wa kwanza alijitahid kutoa Mikopo Kwa wanafunzi wengi. Lakini gafla inaonekana kabadili gia angani na kuonesha Ubaguzi wa Hali ya juuu wa kutoa Mikopo inaonesha kabisa kuwa sasa wanafunzi watateseka Kwa kiasi kikubwa tofauti na awamu zote zilizopita na Ubaguzi wa sasa ni mkubwa na unahatarisha hadi utaifa eti ukiwa na leseni Mtoto wako hapati au Mtoto Akiwa kasoma shule binafsi ndio basi na inaonesha hata tunakoenda kwenye ajira atabagua tu
Wakuuu hiii imetokana na nini? Na je Kama taifa tunaelekea wapi? Huyu dereva anania gani? Je watu wataweza kufika salama? Maaana kuna wengne wanawaza kuruka kwenye hili gari
Kuwa mpole hayo yalikuwa ya kwenye kampeni nazo zilishaisha,sasa ni wakati wa kuvuna.
 
Basi ikatokea kipindi kile wanafunzi wengi wakihitaji mikopo ya elimu ya juu.

Ndipo mfalme jiwe uku akibubujikwa na machozi ya huruma na uzalendo kwa wanafunzi wale akapanda juu ya kichuguu cha kuhutubia akisema bila ya aibu umesoma private unaomba mkopo wakupe wana kichaa.

Alipokwisha kusema hayo kwa moyo wa huruma uliojaa uzalendo akashuka na kutokomea zake akiwaacha wanafunzi wale wakisemezana na kuulizana uku wasijue la kufanya.(jiwe 1-4 )
 
Akilizi za kushikiwa tumia za kwako siasa ni mchezo mchafu ulitaka apite lowasa kwenye vita hatuchagui siraha kikubwa adui afe mengine mbele kwa mbele
 
Back
Top Bottom