kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Kipindi hiki kilikuwa kinarushwa na TBC,Kuna yeyote mwenye taarifa ya nini kinachoendelea ?
Kwani wewe umekiona station gani?
Labda wameungana!
riport inahusika mkubwaKipindi cha daladala ni idea ya jamaa fulani ambao waliiuza tbc na wamemaliza mkata wao wameingia mkataba na itv jana ndiyo tulikuwa tunafanya matayarisho ya kufanya branding ya hice.
Kipindi cha daladala ni idea ya jamaa fulani ambao waliiuza tbc na wamemaliza mkata wao wameingia mkataba na itv jana ndiyo tulikuwa tunafanya matayarisho ya kufanya branding ya hice.
kwa hiyo mkataba na TBC ulikuwa haulipi?au TBC walikua wanadictate nini cha kujadili kwenye kipindi hiki.mi naona yule jamaa anayehost daladala kama vile hakuwa comfortable/free kujadili mambo against gov/ccm.