Uwezekano mkubwa ni kwamba una urinary tract infection (UTI) kwa sababu ya hiyo pus cells na maumivu wakati wa kukojoa. Hivyo waweza kutumia dawa inayopatikana kirahisi kama Ciprofloxacin 500mg 12hrly for 10 days na pia waweza kuongeza na aina fulani ya solution (nimesahau generic name yake) ila Tz ipo kibiashara inaitwa Cital solution 15mls 12hrly for 5 days.
N:B Si mara zote ukiwa na pus cells kwenye mkojo basi una UTI. unashauriwa kufanya urine culture. Ukiwa na sterile pyuria inawezekana ukawa na TB.
Sasa mtumwa, unaonaje ukipata majibu ya maabara ukamuonesha dr hapo hapo akupe ushauri? Manake haya matibabu ya mtandaoni yanatakiwa kukuelewesha tu kile ambacho dr hajakuelewesha uzuri, kama sio kukushauri pa kuanzia
Uwezekano mkubwa ni kwamba una urinary tract infection (UTI) kwa sababu ya hiyo pus cells na maumivu wakati wa kukojoa. Hivyo waweza kutumia dawa inayopatikana kirahisi kama Ciprofloxacin 500mg 12hrly for 10 days na pia waweza kuongeza na aina fulani ya solution (nimesahau generic name yake) ila Tz ipo kibiashara inaitwa Cital solution 15mls 12hrly for 5 days.
N:B Si mara zote ukiwa na pus cells kwenye mkojo basi una UTI. unashauriwa kufanya urine culture. Ukiwa na sterile pyuria inawezekana ukawa na TB.[/
Usitumie dawa yoyote bila kuonana na dr dawa za kuandikiwa hasa kwenye mtandao zinaweza kukuletea madhara zaidi, mf. huyo anaekuandikia atajuaje kama una allergy na hiyo dawa anayokuandikia? Inawezekana dawa hiyo ilishawahi kumsaidia mwingi lakin haina maana na ww itakusaidia.
Kingine ni kuwa kuna haja ya kuongea na dr ana kwa ana ili akupe ushauri na kujua kwa nini tatzo linajirudia, ni bora pia ufanye vipimo vingne km utakavyoshauriwa na dr.
Uwezekano mkubwa ni kwamba una urinary tract infection (UTI) kwa sababu ya hiyo pus cells na maumivu wakati wa kukojoa. Hivyo waweza kutumia dawa inayopatikana kirahisi kama Ciprofloxacin 500mg 12hrly for 10 days na pia waweza kuongeza na aina fulani ya solution (nimesahau generic name yake) ila Tz ipo kibiashara inaitwa Cital solution 15mls 12hrly for 5 days.
N:B Si mara zote ukiwa na pus cells kwenye mkojo basi una UTI. unashauriwa kufanya urine culture. Ukiwa na sterile pyuria inawezekana ukawa na TB.[/
Usitumie dawa yoyote bila kuonana na dr dawa za kuandikiwa hasa kwenye mtandao zinaweza kukuletea madhara zaidi, mf. huyo anaekuandikia atajuaje kama una allergy na hiyo dawa anayokuandikia? Inawezekana dawa hiyo ilishawahi kumsaidia mwingi lakin haina maana na ww itakusaidia.
Kingine ni kuwa kuna haja ya kuongea na dr ana kwa ana ili akupe ushauri na kujua kwa nini tatzo linajirudia, ni bora pia ufanye vipimo vingne km utakavyoshauriwa na dr.
king'ast jana nilikuwa najaribu kuku pm kwa bahati mbaya simu niliyokuwa natumia ilikuwa haina chaji hivyo ikawa inazima.ngoja niwashe pc then niku pm.
Usitumie dawa yoyote bila kuonana na dr dawa za kuandikiwa hasa kwenye mtandao zinaweza kukuletea madhara zaidi, mf. huyo anaekuandikia atajuaje kama una allergy na hiyo dawa anayokuandikia? Inawezekana dawa hiyo ilishawahi kumsaidia mwingi lakin haina maana na ww itakusaidia.
Kingine ni kuwa kuna haja ya kuongea na dr ana kwa ana ili akupe ushauri na kujua kwa nini tatzo linajirudia, ni bora pia ufanye vipimo vingne km utakavyoshauriwa na dr.
Tukirudi kwa mgonjwa wetu, unaweza ukafanya vipimo vizuri kama urinalysis nzuri, sio ya kutumia dip sticks tu halafu pia mfanyaji awe mzuri katika matumizi ya darubini ili kuleta majibu ya uhakika kama ya casts, protein na vitu vingine muhimu. Urine culture ni muhimu sana pamoja na cystoscope. Usifikirie TB tu kwa kuwa niliandika (kuna magonjwa mengi ambayo ilikuwa ngumu kuandika kwa simu) maana wengine huwa na Interstitial Cystitis, Prostatitis, na Urethritis ambazo huwa na dalili hizohizo pia ambapo moja wa sababu yake huwa ni magonjwa ya zinaa kama gono n.k. (Sio kwa Interstitial Cystitis). Kama imekuwa chronic ni vizuri ukipata ushauri toka kwa urologist na internal medicine specialist.Nasikia maumivu wakati wa kukoja nimeenda kupima majibu ndo hayo: numerous pus cell urine :seem no ova no parasite. Je? Hilo gonjwa gani? Na nini dawa yake.
Mimi sipendi daktari akimbilie kupima HIV mara anapokutana na mgonjwa ambaye hajafikia diagnosis. Madaktari wengi wakishajua unaumwa HIV uwezo wao wa kufikiria hukomea hapo (huganda) na hivyo hata kama una ugonjwa nyemelezi au sio nyemelezi wanaishia kutoufahamu na hivyo kutotoa tiba sahihi kwa kuwa kila kitu kwa wao kitaelezewa na HIV wakati sio sahihi. Tibu ugonjwa unaomsumbua mgonjwa kwanza kwa muda husika kama kuna umuhimu wa kumpima HIV fanya hivyo, ila usijifiche kwenye mgongo wa HIV.Mkuu pima na HIV maana nyemelezi tayari
View attachment 43122majibu ya jana hayo wataaram.
... Mkuu Slave,labda walikupima then hawajakupa majibu mengine:
inaonyesha
>ulipimwa mkojo majibu kama hayo
>ukapimwa na kaswende [majibu ni negativu]
> na hiyo hapo chini
'Sero- negative'ndo kipimo cha HIV... So ur HIV negative kulingana na aliekupima.
mkuu fafanua.au unamaanisha kwamba nikienda kupimwa mahala pengine majibu yanaweza kubadilika? Kama ndivyo basi watakuwa hawatutendei haki.binafs nimepima zaidi ya 4 times na sehemu tofauti.
mkuu fafanua.au unamaanisha kwamba nikienda kupimwa mahala pengine majibu yanaweza kubadilika? Kama ndivyo basi watakuwa hawatutendei haki.binafs nimepima zaidi ya 4 times na sehemu tofauti.