Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
- Thread starter
- #21
... Sorry for later reply,nilikuwa nje ya mtandao.
>>> Naomba uamini majibu uliyopewa mkuu. Labda lugha niliotumia [neno "kwa mujibu"],limekutoa nje ya mstali... Let say nimelitumia kimakosa kwa bahati mbaya. Na nimefanya hivyo,kwa kuwa siyo mimi niliekupima !
Bahati mbaya zaidi TZ,watu wengi wanaopima,hasa HIV na Typhoid,wakipewa majibu ya negative huwa hawaamini,hadi wapime mara 2 au zaidi, sehemu tofauti...UWONGO ?!
mzee nimependa sana jinsi ulivyo fafanua. Natumai sio mimi tu nilie nufaika na mchango. Hata wale wa akina "napita tu" nao pia wamenufaika.pia naomba naomba unipe maana ya user name yako.