commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,626
- 870
Wadau karibuni tupate data za juu ya hili tatizo la afya na nini kifanyike..... Kipima joto cha itv kipo hewani sa 3 usiku huuu... karibuni
kuna washiriki wanne hapa... wanajaribu kiutoa data data za gharama za kumuuandaa dokta mmoja ni takribani milioni 30 kwa dokta mmoja, na ratio ya dokta mmoja kwa wagonjwa, ni dokta 1: kwa wagonjwa 30,000, wakati WHO standard ni dokta 1:10,000(wagonjwa).. kwa hiyo unaweza kupiga hiyo milioni 30 mara gharama ya hao madokta 360 waliofukuzwa kama intern ni shilingi ngapi zimepotea...
kuna mbunge mmoja wa ccm anasema anaipongeza serikali na anadai gali si mbaya... yupo ki serikali zaidi hivi naona
kuna washiriki wanne hapa... wanajaribu kiutoa data data za gharama za kumuuandaa dokta mmoja ni takribani milioni 30 kwa dokta mmoja, na ratio ya dokta mmoja kwa wagonjwa, ni dokta 1: kwa wagonjwa 30,000, wakati WHO standard ni dokta 1:10,000(wagonjwa).. kwa hiyo unaweza kupiga hiyo milioni 30 mara gharama ya hao madokta 360 waliofukuzwa kama intern ni shilingi ngapi zimepotea...
kuna mbunge mmoja wa ccm anasema anaipongeza serikali na anadai gali si mbaya... yupo ki serikali zaidi hivi naona