Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Ktk kipima joto cha ITV leo wanahiji "Baadhi ya watoza kodi kutoza zaidi ya kiwango kilichowekwa waadhibiwe kama mafisadi?" swali langu hapa kwani ni fisadi yupi hapa Tanzania alishawahi kuadhibiwa ili tuweze kufananisha hiyo adhabu kama inawafaa!
Nawasilisha
Nawasilisha