HUMANIST
Member
- Nov 17, 2023
- 23
- 20
Salaam wana jukwaa!
Sina haja ya kueleza kwa kina yaliyowakuta wayahudi, lakini Vitabu vya historia—vya kisekula na kidini—vinaeleza wayahudi walifukuzwa na kuuawa maeneo mengi ya Asia na ulaya, mfano Uajemi, Uyunani, Roma, Hispania, Ufaransa, Urusi, Italia na hatimaye Ujerumani.
Nini kimetokea ulaya leo hawachukiwi na kuuawa ambacho hakikuwepo 1940s, Medieval Times na Pre-Christ era?
Je, ni kwanini wayahudi waliuawa na kuchukiwa ulaya?
Angalizo; Lengo la uzi huu ni kujua chimbuko la mambo na si kutafuta uhalali. Pili, nisingependa udini utawale mjadala huu na tatu, lugha za staha ni muhimu.
Asanteni.
Sina haja ya kueleza kwa kina yaliyowakuta wayahudi, lakini Vitabu vya historia—vya kisekula na kidini—vinaeleza wayahudi walifukuzwa na kuuawa maeneo mengi ya Asia na ulaya, mfano Uajemi, Uyunani, Roma, Hispania, Ufaransa, Urusi, Italia na hatimaye Ujerumani.
Nini kimetokea ulaya leo hawachukiwi na kuuawa ambacho hakikuwepo 1940s, Medieval Times na Pre-Christ era?
Je, ni kwanini wayahudi waliuawa na kuchukiwa ulaya?
Angalizo; Lengo la uzi huu ni kujua chimbuko la mambo na si kutafuta uhalali. Pili, nisingependa udini utawale mjadala huu na tatu, lugha za staha ni muhimu.
Asanteni.