bank ukiweka 1m ukikaa mwaka utakuta laki 8 makato kila mwezi!viwanja mkuu hata magari hayana maana
bank hazina faida katika kutunza fedha kwa muda mrefu coz kuna gharama za uduma nyingi mno kama kuangalia salio,kutuma pesa,makato ya mwezi ,huduma za malipo kama luku n.k.
Hivyo basi ukiweka Tsh. 100000 baada ya mwezi mmoja utakuta pungufu ya 100000 hivyo nakubaliana na kuhifadhi pesa kwa kununua ardhi coz haiozi,kupotea wala kuhamishika na thamani yake inapanda kila kukicha.