Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,149
- 4,213
Kwasadala - Boma - Kia hapa kuna mkeka umenyooka hatar sana
Huwa nainjoi sana scene hii!!!!Zile sehemu ambazo basi linasimama kwaajili ya kuchimba dawa.
Daaah nafurahia sana vile wadada wanakimbilia vichakani
Vipi mkuu pale kwenye kona za milima ya Nyang'oro,huwa panafikirisha sana...?Dom - Mbeya nafurahi sana kupita pale Mtera bwawani pia Kitonga napapenda kwa njia ya Mbeya- Dar. Furaha kubwa nikiwaga naingia mbeya pale Nanenane kwenye daraja la treni lenye kibao cha kukaribisha Mbeya
Kuanzia Boma hadi Kia palikuwa na mashimo balaa, sijui kama siku hizi wametengeneza. Nilipita 2018 mwanzoni.Kwasadala - Boma - Kia hapa kuna mkeka umenyooka hatar sana
Hii road naona tanroad wanakula hela mwaka 2019 waliitengeneza ikawa nzuri mno cha ajabu haikuchukua muda mashimo yakaanza wakarudia tena saiz ipo mwake kiasi lakin viraka vimevimba uzur road imenyooka basi nikunyoosha tuuKuanzia Boma hadi Kia palikuwa na mashimo balaa, sijui kama siku hizi wametengeneza. Nilipita 2018 mwanzoni.
Kahama to kakonko via nyakanazi rod
Mkuu usishangae watanzania ndiyo kwanza tumeingia uchumi wa kati.we jamaa uko dunia gani mbona kitu cha kawaida sana hivi kuna watanzania hawana exposure kiasi hiki unashangaa kuweka AC chumbani
I second you 👍hata lile road la babati arusha tamu sana
Nchi gani?Tupeane uzoefu katika Tanzania yetu hii na dunia kwa ujumla. Mara nyingi huwa tunasafiri katika kutafuta mahitaji yetu mbali mbali ndani ya miji yetu, mikoa na hata nje ya nchi.
Hayo ya kukwea mapipa wengine hatujayaonja, tunayaona tu kwenye mamuvi. Hivyo wacha nizungumzie kuhusu suala lililopo ndani ya uwezo wangu katika safari nayo ni mabasi ya abiria.
Leo Niko safarini kutoka MBEYA kuelekea CHALINZE.
Hua mafurahi sana nikipita maeneo ya Mto Ruaha pale. Ukishamaliza kushuka kitonga Hadi unaikamata miku mijini.
Kipande kile bwana nakipenda Sana mandhari yake na gari jinsi inavofunguka.
Hebnchi u twambie ni sehemu gani unaielewa zaidi unapo safiri?
Tupeane uzoefu katika Tanzania yetu hii na dunia kwa ujumla. Mara nyingi huwa tunasafiri katika kutafuta mahitaji yetu mbali mbali ndani ya miji yetu, mikoa na hata nje ya nchi.
Hayo ya kukwea mapipa wengine hatujayaonja, tunayaona tu kwenye mamuvi. Hivyo wacha nizungumzie kuhusu suala lililopo ndani ya uwezo wangu katika safari nayo ni mabasi ya abiria.
Leo Niko safarini kutoka MBEYA kuelekea CHALINZE.
Hua mafurahi sana nikipita maeneo ya Mto Ruaha pale. Ukishamaliza kushuka kitonga Hadi unaikamata miku mijini.
Kipande kile bwana nakipenda Sana mandhari yake na gari jinsi inavofunguka.
Hebu twambie ni sehemu gani unaielewa zaidi unapo safiri?
Ndiyo Ila sio sana kama wajaluowajita na wenyewe ni weusi kama wajaluo?
Nilishwahi kusafiri kutoka Tabora hadi South Africa kwa kupitia Mozambique kwa gari hadi unahisi pumbu zinataka kutoka *****
Sijawahi kufurahia safari ya basi aisee ni shida tupu