mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,439
- 2,920
- Thread starter
- #81
Mbona Kama yupo sahih?Una tatizo la Afya ya akili,tafuta wataalamu
Mbona Kama yupo sahih?Una tatizo la Afya ya akili,tafuta wataalamu
Pale pazuri sanaPosta makumbusho hasa maeneo ya Victoria mida ya usiku hua najihisi kama nipo down town Manhattan New York City
Hivi kwanini ukifungua macho tu ukaenda short call na kurudi on bed huwezi lala tenaHamna safari nzuri kama ile ya kitandani kwenda msalani(chumba self) unatoka bila kuwasha taa, unafanya yako unarudi hadi ktandani ukiwa umefumba macho kutopoteza ka usingz! Hio safar bomba asikwambie mtu
Hivi kwanini ukifungua macho tu ukaenda short call na kurudi on bed huwezi lala tena
Ila ukiyafumba unapata usingizi tena
we jamaa uko dunia gani mbona kitu cha kawaida sana hivi kuna watanzania hawana exposure kiasi hiki unashangaa kuweka AC chumbaniAC chumbani?
Hata mm naona maajabu mtu anashangaa AC kuwekwa chumbani!!?we jamaa uko dunia gani mbona kitu cha kawaida sana hivi kuna watanzania hawana exposure kiasi hiki unashangaa kuweka AC chumbani
kwanini mkuuUna tatizo la Afya ya akili,tafuta wataalamu
Inaonekana wewe ni mtu wa masafa sana mkuu...1. Same - Korogwe
2. Ruaha Mbuyuni - Igawa
3.Iringa - Dodoma (matrafiki wachache na magari ni machace)
4.Babati - Kondoa - Dom
5. mpika - Kapiri Mposhi
6. Kapiri Mposhi - Lusaka
7. Beit Bridge - Johburg.
Hii ni kweli kabisaSio Mwanasayansi,,ila naamini ipo mishipa ya faham huwa inafanya kazi sambamba na misuli ya macho wakati umepata usingizi. Kitendo cha kui disturb kwa kupepesa macho inarudi kwenye normal state ya kumhudumia mtu aliye macho. Kumbuka Mwanadam anakaa macho muda mwingi kuliko kulala, so kuiaminisha tena kuwa huo haukuwa muda wako wa kuamka ndo shuhuli inapoanza hadi Swalaaa!.
Afu anajiita tajiri wa magomeniwe jamaa uko dunia gani mbona kitu cha kawaida sana hivi kuna watanzania hawana exposure kiasi hiki unashangaa kuweka AC chumbani
Mihangaiko ya maisha mkuu. Tunajaribu huku na huku. Ipo siku tutatoka tu!Inaonekana wewe ni mtu wa masafa sana mkuu...
Pale mabasi yanaposimama hoteli watu wa makamo hujikuta baada ya kutoka kununua chakula wanasahau kuwa ni gari ipi aliyekuwemo hasa inapotokea gari mbili za kampuni moja zote zimepaki hapo muda huo
Mkuu hii huwa inamtokea mtu yeyoye, kama hukulimark basi lako vizuri wakati ukishuka utajishtukia ukipanda basi ambalo silo...Pale mabasi yanaposimama hoteli watu wa makamo hujikuta baada ya kutoka kununua chakula wanasahau kuwa ni gari ipi aliyekuwemo hasa inapotokea gari mbili za kampuni moja zote zimepaki hapo muda huo
Duh hiyo tabia hata mie inayo sana..Hamna safari nzuri kama ile ya kitandani kwenda msalani(chumba self) unatoka bila kuwasha taa, unafanya yako unarudi hadi ktandani ukiwa umefumba macho kutopoteza ka usingz! Hio safar bomba asikwambie mtu
Mzee baba hivyo vipande wapanda mabasi hawavipendi kabisa kwasababu ni virefu...Chalinze-Morogoro
Kabuku-Segera
Mombo-Same