Mjitawewe mjaluo?
htari mwanaPanakera sana hiki kipande, yani hakivutii mpaka macho yanauma
Hivyo vipande kama mashine iko vizuri, ni vitamu sana.Mzee baba hivyo vipande wapanda mabasi hawavipendi kabisa kwasababu ni virefu...
lkn kwa wazee wa private wanaserereka tu
Mawaziri ni watu tu kama wengine wala usi-complicatekwenda moro dar ukiwa na private car kula lunch ile restaurant pale msolwa filling station so relaxing alafu mule ndani unakutana na ma VIP tu nishakaa meza moja na mawaziri wawili tukawa tunapiga story kama wanachi wa kawaida tu
Mara ya mwisho nilipita 2013 barabara ilikuwa nzuri sana, haina magari kabisa. Nasikia barabara sasa hivi ina mashimo Sana?!kipande cha Nagulukuru-Lindi....
wajita na wenyewe ni weusi kama wajaluo?Mjita
kwenda moro dar ukiwa na private car kula lunch ile restaurant pale msolwa filling station so relaxing alafu mule ndani unakutana na ma VIP tu nishakaa meza moja na mawaziri wawili tukawa tunapiga story kama wanachi wa kawaida tu