Kiongozi wa Mtaa kwa tiketi ya Chadema, Shinyanga ashikiliwa kwa ufujaji

KIONGOZI wa Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (chadema) Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara ( jina linahifadhiwa) anashikiliwa polisi akidaiwa kufuja Sh 600,000 fedha za mfuko wa Elimu wa wakazi wa Kazamoyo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mfuko wa Elimu, Mtaa wa Kazamoto, mjini mdogo wa mererani, Sokoto Mbuya alisema kiongozi huyo alifuja fedha hizo akiwa mweka hazina wa kamati hiyo na alipewa Sh 1.045 milioni walizopata kutokana na michango ya wananchi wa mtaa huo ambao kila mkazi alichangia Sh 500.
Alisema walimpa fedha hizo awe nazo kutokana na nafasi yake ya mweka hazina wa mfuko huo na walitoa Sh 445.000 kwa ajili ya kununulia vifaa vya shule ya msingi Endiamtu na fedha zilizobaki akawa anawazungusha wajumbe kuzitoa. kamanda wa polisi wa mkoa wa manyara, Parmena Sumary, alidhibitisha kukamwatwa kwa katibu huyo wa Chadema.
SOURCE: MWANANCHI MEI 26, 2011

Naomba kuwawekeni sawa kwamba, Watanzania wanajua vizuri kabisa kwamba Binadamu
ni waovu na ndio wanaokula Rushwa na hakuna CHAMA cha Siasa ambacho kinaweza
kusema kwamba viongozi wake sio wala rushwa. Binadamu wote wanaweza kula ruswa

Wanachokitaka watanzania ni kuona CHAMA Kinachoongoza Serikali yake kikipambana
na uovu huu, CHAMA kisichoweza kuvumia vitendo vya Rushwa ndani yake na katika
Serikali vinayoingoza na vyombo vyote hata binafsi vilivyo katika Ardhi ya Jamuhuri ya
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

CCM wametudhibitishia kwamba wao si chama cha namna hiyo.
Hawafai kuendelea kushikilia dola. CHADEMA wameonyesha Njia.

Hatutaki chama Kinachokumbatia Mafisadi, Wauza Unga, wavivu na wazembe
katika Ardhi yetu, Hatuitaki CCM tunaitaka CHADEMA now
 
Why is it Crap?

Chadema ni watakatifu wote ???

Jamaa angesubiri hela iwe nyingi basi ...
 
Sasa hapa unatueleza Utumbo gani wewe mtoto wa Msanii wa kucheza Kiduku! Kwanza tuambie ile kesi uliyodai utaifungua imeishia wapa wewe Fisadi mtoto! Sasa mtu akiiba si anapaswa kupelekwa mahakamani na si kutulete thread ya Uozo hapa? Mwizi anaweza kuwa na Itikadi yoyote tu ya kisiasa, hapa tunachopinga ni Mwizi kulindwa kama wanavyofanya CCM kuwalinda wezi ndio maana tunakilaumu CCM.

Siku nyingine usilete thread za Kise.....e kama unatoka kuharisha mbegu ulizotumbukizwa usiku

Wewe endelea kutukana tu lakini mimi nipo na wanyonge wenzangu Wananchi wa Simanjiro kuhusu pesa zao wamejikimu kuchangishana viongozi wa Chadema wametafuna
 
Hii ni tabia ambayo naona kwangu ni ya kawaida, kama ushahidi utaonyesha huyu bwana ametenda kosa ndio maana mahakama zipo!! Anaweza kuwa mwanachama wa Magamba au CDM ila kwa utawala wa sheria mtu anahukumiwa kwa makosa aliyofanya kwa mujibu wa sheria, ila kwa Magamba mnaona kulindana na kutofikishana mbele ya sheria ndio ujanja!! Ndio maana mnachukiwa na wenyenchi!! After row hivyo ni vihela vidogo kama kuna records utakuta labda huyo muhusika alikwenda kununua gauni la wife akitegemea atarudisha kabla ya wenyewe kuzihitaji!! Pia Kunachotufanye nchi ikose maendeleo sio Laki sita (600,000) za hao ndugu walizochanga ila ni wizi wa kodi zetu huko juu!! This looks like very petty petty thing not supposed to be discussed here!!!
 
Hii ni tabia ambayo naona kwangu ni ya kawaida, kama ushahidi utaonyesha huyu bwana ametenda kosa ndio maana mahakama zipo!! Anaweza kuwa mwanachama wa Magamba au CDM ila kwa utawala wa sheria mtu anahukumiwa kwa makosa aliyofanya kwa mujibu wa sheria, ila kwa Magamba mnaona kulindana na kutofikishana mbele ya sheria ndio ujanja!! Ndio maana mnachukiwa na wenyenchi!! After row hivyo ni vihela vidogo kama kuna records utakuta labda huyo muhusika alikwenda kununua gauni la wife akitegemea atarudisha kabla ya wenyewe kuzihitaji!! Pia Kunachotufanye nchi ikose maendeleo sio Laki sita (600,000) za hao ndugu walizochanga ila ni wizi wa kodi zetu huko juu!! This looks like very petty petty thing not supposed to be discussed here!!!

Mkuu usiseme hivyo vihela vidogo, ni kuwadharau Wananchi wa Simanjiro pesa zao wanazipata kwa ugumu sana, ata kama wewe unaona hiyo pesa 600,000 ni ndogo ni ya kununulia gauni la mke wako. wao hiyo pesa ni yakusomeshea watoto wao, poleni Wanasimanjiro nadhani mnasikia Wanachadema wanavyowajibu
 
KIONGOZI wa Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (chadema) Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara ( jina linahifadhiwa) anashikiliwa polisi akidaiwa kufuja Sh 600,000 fedha za mfuko wa Elimu wa wakazi wa Kazamoyo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mfuko wa Elimu, Mtaa wa Kazamoto, mjini mdogo wa mererani, Sokoto Mbuya alisema kiongozi huyo alifuja fedha hizo akiwa mweka hazina wa kamati hiyo na alipewa Sh 1.045 milioni walizopata kutokana na michango ya wananchi wa mtaa huo ambao kila mkazi alichangia Sh 500.
Alisema walimpa fedha hizo awe nazo kutokana na nafasi yake ya mweka hazina wa mfuko huo na walitoa Sh 445.000 kwa ajili ya kununulia vifaa vya shule ya msingi Endiamtu na fedha zilizobaki akawa anawazungusha wajumbe kuzitoa. kamanda wa polisi wa mkoa wa manyara, Parmena Sumary, alidhibitisha kukamwatwa kwa katibu huyo wa Chadema.
SOURCE: MWANANCHI MEI 26, 2011

Mwananchi tolea la leo 26, May 2011 link iko hapo chini, sioni hii habari ya ritz. labda kama kuna mtu mwenye hard copy atuangalizie.

Gazeti la habari za kiswahili la kila siku Tanzania, linaongoza
 
Ritz,
cha msingi hapa ni kuwa muhusika amechukuliwa hatua na atafikishwa mahakamani that is great na chadema haikumzunguka au kumtetea kama kweli ni mwizi. tofauti na ccm ambapo chenge, idrisa, na wezi wa kagoda ccm na serikali yake inawalinda hawakukatwa wala kufikishwa polisi sanasana rais alitangaza kuwasamehe wezi kabla hata ya kuwafikisha mahakamani wala mpaka hii leo hatuwajui waliousika ni akina nani?hicho ndio kitu kibaya. viongozi wabaya watakuwepo popote ccm na cdm lakini cha msingi ni kuachia sheria ichukue mkondo na siyo kuwalinda waalifu kama ambavyo ccm imekuwa ikifanya.
 
Huna hata aibu kuleta hoja za laki sita je mabilioni yote hayo ya Epa meremeta, iptl, atc, kiwira, mishahara feki, ni CDM hao wanatuhumiwa, acheni siasa za kipumbavu waambieni waliwatuma waache ujinga la wawaambie jinsi ya kuleta thread zenye mantiki.

Tunataka fighter wa nchi hii, siyo utetezi wa uovu, acheni hayo nchi hii ilikombolewa na wenye nia safi nyie nyote hamna nia safi zaid ya kijilimbikizia mali, baba wa Taifa Hili angekuwa mroho kama nyie asingewaachia hadi mkute mali zote zipo sasa zimepotelea mikononi mwenu p..f.. nyie

Leteni hoja za kuikomboa nchi, sina chama na sipendi ushabiki wa kijinga wenu sh...z.. yenu

Aluta Continua!
 
Dudu uchi na akili uchi in action.:mod:

Nashukuru Kaka kwa maneno yako murua, mimi nimejitolea kuwasaidia Wananchi wa Simanjiro masikini wenzangu. wanafanya kazi za kulima karoti watoto weo wasome wanachanga pesa nyie mnachukuwa hizo pesa mnanulia magauni wake zenu hilo alikubariki
 
Nyumba bora inaanza na msingi imara kama mnaaza kutafuna michango ya wananchi saizi je mkichukuwa nchi itakuaje????
Ninyi si mliachiwa nyumba bora na Julius Nyerere mbona mmeibomoa yote kwa kuiba pesa za wananchi na kulindana! Wananchi wa Simanjiro wanajua nini wanafanya watamchukulia hatua na ikithibitika atawajibika kama yeye na sio chama, CDM sio CCM inaotuma makada wake wakaibe BOT na inawalinda kwa nguvu zote!
 
Huyo kiongozi anaitwa nani? cheo chake ndani ya chama nini? Mbona hakuna jina anaitwa tuu kiongozi mmoja sasa hapa inawezekana ni propaganda .
 
KIONGOZI wa Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (chadema) Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara ( jina linahifadhiwa) anashikiliwa polisi akidaiwa kufuja Sh 600,000 fedha za mfuko wa Elimu wa wakazi wa Kazamoyo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mfuko wa Elimu, Mtaa wa Kazamoto, mjini mdogo wa mererani, Sokoto Mbuya alisema kiongozi huyo alifuja fedha hizo akiwa mweka hazina wa kamati hiyo na alipewa Sh 1.045 milioni walizopata kutokana na michango ya wananchi wa mtaa huo ambao kila mkazi alichangia Sh 500.
Alisema walimpa fedha hizo awe nazo kutokana na nafasi yake ya mweka hazina wa mfuko huo na walitoa Sh 445.000 kwa ajili ya kununulia vifaa vya shule ya msingi Endiamtu na fedha zilizobaki akawa anawazungusha wajumbe kuzitoa. kamanda wa polisi wa mkoa wa manyara, Parmena Sumary, alidhibitisha kukamwatwa kwa katibu huyo wa Chadema.
SOURCE: MWANANCHI MEI 26, 2011


Kavae nguo we mkaa uchi.
 
Kwa hiyo CCM hawaibi? Tutajuaje kama huyu kiongozi sio pandikizi kama yule aliyeshikwa na AK 47?
 
KIONGOZI wa Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (chadema) Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara ( jina linahifadhiwa) anashikiliwa polisi akidaiwa kufuja Sh 600,000 fedha za mfuko wa Elimu wa wakazi wa Kazamoyo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mfuko wa Elimu, Mtaa wa Kazamoto, mjini mdogo wa mererani, Sokoto Mbuya alisema kiongozi huyo alifuja fedha hizo akiwa mweka hazina wa kamati hiyo na alipewa Sh 1.045 milioni walizopata kutokana na michango ya wananchi wa mtaa huo ambao kila mkazi alichangia Sh 500.
Alisema walimpa fedha hizo awe nazo kutokana na nafasi yake ya mweka hazina wa mfuko huo na walitoa Sh 445.000 kwa ajili ya kununulia vifaa vya shule ya msingi Endiamtu na fedha zilizobaki akawa anawazungusha wajumbe kuzitoa. kamanda wa polisi wa mkoa wa manyara, Parmena Sumary, alidhibitisha kukamwatwa kwa katibu huyo wa Chadema.
SOURCE: MWANANCHI MEI 26, 2011


Mtumbo mkubwa kama una mimba ya magamba
 
Back
Top Bottom