OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Membe na Wama sasa inatosha
Hivi kamtaja Kikwete au?😅
Mnaomchukia kingunge ni wale wenye maslahi ya familia ya ikulu tuu
Mungu ambariki Rais Kikwete asimamie haki na uadilifu, hili ni jambo jema ambalo Rais Kikwete atatutendea kama kwaheri ya uongozi wake, nchi kwenda mikononi mwa wezi ni jambo lisilokubalika.
Mungu ambariki Rais Kikwete na ampe ujasiri wa kusimamia lililo jema.
Wana CCM na Watanzania kwa ujumla tutamheshimu kwa kufanya hivyo.
Membe na Wama sasa inatosha
Nimemsikia Kingunge ITV anasema chaguo la watu ni EL na imejulikana hivyo kutokana na umati uliokuwa unamuunga mkono ktk kukusanya wadhamini.
Na kasema asipopita EL,basi chama ndio kimejizika
haa haa kwani yeye aliingije madarakani mwaka 2005?
Go go kingunge vuruga vuruga.
CCM isipuuze maoni ya wananchi walio wengi, Hata Mwl. Nyerere aliwahi kuonya hili.
Ile simulizi ya mnara wa babeli karibu inatimia.
hivi kinginge kalipwa kiasi gani na lowasa?
Unabii wa kakobe unatimia sasa. Ikulu ya kikwete si ilizarau?? lazima isambaratike
Nape Nnauye tuambie tu Marehemu Chichiem anazikwa wapi?Pilau ,wali duh tusiukose jamani.Nasikia hata kile kiinua miguu pia mmekipiga kwanja inakuwaje?Na wale wajumbe wenu wa mjengoni nasikia wamegomea kuingia kwa mjengo
Wengine tunasubiria ubwabwa wa Marehemu CCM sijui utaliwa wapi?Yaani Kingunge angefanya haraka kuzika marehemu huyo.Lakini anasema ukweli Baba Mnec,Mama Mnec na watoto wanec kazi ipo