Wafrika bhana! Ndiyo mambo ya myweather kujipiga picha na hela mara anaogeshwa.Sio kwa ubaya mkuu. Hicho king'amuzi kinatumika kufanyia nn?
Mkuu hold on, unaongelea nn kwani? 😅😅😅Wafrika bhana! Ndiyo mambo ya myweather kujipiga picha na hela mara anaogeshwa.
Hapo anatumia DSTV, Azam tv au Canal + ameona amepatia maisha.
Kuna mpangaji mwenzangu hapa amepanga chumba na sebule, sofa 2, kitanda cha 5x6, TV inchi 21, sabufa ya 90, Kabati ya vyombo na ya nguo. Hasalimii watu
Huwa nacheka sana
Oooops we run into some problemWafrika bhana! Ndiyo mambo ya myweather kujipiga picha na hela mara anaogeshwa.
Hapo anatumia DSTV, Azam tv au Canal + ameona amepatia maisha.
Kuna mpangaji mwenzangu hapa amepanga chumba na sebule, sofa 2, kitanda cha 5x6, TV inchi 21, sabufa ya 90, Kabati ya vyombo na ya nguo. Hasalimii watu
Huwa nacheka sana
Mkuu mpaka ukajua vyote hivi, uliingia chumbani kwake kufanya nini?Wafrika bhana! Ndiyo mambo ya myweather kujipiga picha na hela mara anaogeshwa.
Hapo anatumia DSTV, Azam tv au Canal + ameona amepatia maisha.
Kuna mpangaji mwenzangu hapa amepanga chumba na sebule, sofa 2, kitanda cha 5x6, TV inchi 21, sabufa ya 90, Kabati ya vyombo na ya nguo. Hasalimii watu
Huwa nacheka sana
Sijaelewa swali lako mimiJamani king'amuzi kipya kabisa ambacho baso hakijasajiliwa cha startime huwa kinakuwa na status ipi kati ya hivi
1. Domarnt
2. Invalid
3. Inactive
Msaada wenu wangwana na wajuvi wa mambo haya mnisaidie
MkuuJamani nimeuliza mnipe msaada tena mnaleta masimango wadau hiyo sio poa kabisa imagine ni ww umeuliza sasa