Mkuu Chalenje
Inategemea unakaa eneo gani Dar, signals zao sio straight forward kwa experience yangu. Mie nakaa Tegeta nilinunua nikapewa kile ki-antena cha ndani sikupata kitu ikabidi niende kununua antenna ile ya nje ndo mambo yakawa sawa. Lakini ata hivyo sound quality sio nzuri na baadhi ya channel hata picture resolution sio nzuri. Wana channel nyingi ambazo hazina msaada wowote ni kama kujaza phonebook na majina ya watu husiowajua! Nikiwalinganisha na Multi choice naona (MC) bado wapo juu sana kwa uwingi wa channel, sound and picture quality, kama una mfuko wa kutosha ni kheri ujiunge huko. Ni maoni yangu tu.
tuelekezane mzee wapi naweza mpata huyu mchalii?Kuna jamaa anakufungia dish unanunua decoder usd 200 na unamlipa 250,000 per year unapata channels nyingi za maana unaona premier leage, la liga, bundasliga na movie mpya mpya.....
Anapatikana wapi huyu...Kuna jamaa anakufungia dish unanunua decoder usd 200 na unamlipa 250,000 per year unapata channels nyingi za maana unaona premier leage, la liga, bundasliga na movie mpya mpya.....
jamani nataka kununua king'amuzi cha star time,so kabla sijafanya maamuz ya kununua nikaona si mbaya kuwakilisha hapa ili kama kuna yeyote mwenye kujua historia ya hii kitu anijuze mazuri yake na mabaya yake pia.
nawakilisha.
Mie nipo mbeya nilienda kwenye ofc za dstv nikakutana na sister du flani kanizingua,anasema huduma zote ni mfumo wa dolar eti tz sh haitumiki,nisaidieni nifanye nini ndugu zangu,startimez wenyewe huku bado ATN ndo cjui kama huku wanapatikana,,
Kuna jamaa anakufungia dish unanunua decoder usd 200 na unamlipa 250,000 per year unapata channels nyingi za maana unaona premier leage, la liga, bundasliga na movie mpya mpya.....
Mkuu mbeya ATN wanakuja na decoda zao soon. Pale mafiati wana kanisa lao waweza enda kuuliza. Nakuhakikishia decoda zao ni bomba ile mbaya kwani zimetengenezwa kwa technology ya mjerumani. Mi ninacho na nimeona vya star times ndo maana nakuambia uwe macho usipoteze hela yako.
channel zinaonekana clear, ila ni chache sana. Ukiweza funga na free to air receiver.
Inasemekana kuwa hadi za dstv wengine wanaziingiza kiujanja kwenye hicho king'amuzi cha startimes.Zinaongezeka weye!!!, hakuna lisilowezekana Bongo Mkuu unapata zaidi ukitaka wakuchakachulie!!
Hapana hiyo free to air receiver ni ma-dish ya kawaida tu ambayo yana channel zaidi ya 45 na za kibongo zote zipo ni rahisi haifiki hata laki mbili na ukifunga umefunga hakuna malipo ya kila mwezi ila kama una mawe (pesa) ya kutosha funga DSTv ile ni funga kazi na pia ina rate tofauti tofauti kulingana na kipato chako siku ukiwa nazo unaweka Premium na ukifulia unaweza FamilyThanx mkuu sasa hiyo free to air receiver ni product za star time pia?
Mkuu utapoteza hela yako bure. Nakushauri uende pale ATN ukanunue decoder yao ni nzuri nzuri sana. Ukiwanayo utaweza kutumia flash yako na pia utaweza kurecord chochote kutoka kwenye TV yako. Inaonesha karibu channel zote za ndani na nyingi sana za nje na movies za kinigeria. Pia utaweza kufaidi UEFA Champions League kwa raha kabisa kwani wao ndo waliopewa kibali cha kurusha hizo mechi kwa sasa.
mmmh toka nifunge DSTv zaidi ya miaka mitatu iliyopita sijawahi kulipishwa kwa dola ila uwa wanafanya conversion kwa tsh, mbona siku hizi Dstv inalipwa kwa simu tu na simu zote za bongo wanatumia tshs, hiyo habari yako ina walakiniMie nipo mbeya nilienda kwenye ofc za dstv nikakutana na sister du flani kanizingua,anasema huduma zote ni mfumo wa dolar eti tz sh haitumiki,nisaidieni nifanye nini ndugu zangu,startimez wenyewe huku bado ATN ndo cjui kama huku wanapatikana,,