Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,351
- 105,775
Kama rais aliyepo madarakani anaweza kutafutiwa asilimia 20% ya wabunge kuunga mkono hoja ya kumshitaki (impeachment proceeding) halafu kupelekwa mahakamani kushtakiwa baada ya hoja kuungwa mkono na theluthi mbili ya wabunge, itakuwaje rais mstaafu asiweze kushtakiwa?