Mkuu Hii kitu umeiandika kwa tafsida zaidi. Naona imekaa kama mashairi ya fulani vile..
Najaribu kwenda mbele na kurejea lakini nashindwa kuipata uzuri..
Ameandika hivyo ili mods wasiifute.
Unajua tena mods wako mbele kwa mbele kuchafua JF ili habari za ufisadi wa ccm na Kikwete zisijadiliwe.
Mambo ya kwenda bungeni ndiyo hayo - wameshapewa chao kidogo na sasa hao wametulia tu.