Katibu Mkuu wa CCM, Abraham Kinana, leo akiongea mbele ya Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali, vya habari huko Nairobi nchini Kenya,alisema kwamba Mchakato wote wa Uchaguzi umeenda Vizuri,japo kuna Matatizo ya hapa na Pale! Kitu ambacho hakikosekani ktk Uchaguzi wowote! Na kwamba yeye akiwa kama Mwenyekiti wa Waangalizi kutoka Afrika Mashariki,wa Uchaguzi huo,wanardhika na jinsi uchaguzi huo ilivyoendeshwa.
Hata hivyo anaishauri Tume ya Uchaguzi ya Kenya kuendelea kutoa Somo la Uraia kwa wananchi wake ili kushiriki kwa wingi ktk upigaji wa kura.
Lakini pia Anaishauri Tume ya Uchaguzi ya Kenya Iwe inaandikisha Wapiga Kura kila mwaka!!
Source: TBC Taarifa ya Habari Usiku!
Umesahau ni BUNDI MKUUMdini na mwizi ndo vigezo vyao?
Katibu Mkuu wa CCM, Abraham Kinana, leo akiongea mbele ya Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali, vya habari huko Nairobi nchini Kenya,alisema kwamba Mchakato wote wa Uchaguzi umeenda Vizuri,japo kuna Matatizo ya hapa na Pale! Kitu ambacho hakikosekani ktk Uchaguzi wowote! Na kwamba yeye akiwa kama Mwenyekiti wa Waangalizi kutoka Afrika Mashariki,wa Uchaguzi huo,wanardhika na jinsi uchaguzi huo ilivyoendeshwa.
Hata hivyo anaishauri Tume ya Uchaguzi ya Kenya kuendelea kutoa Somo la Uraia kwa wananchi wake ili kushiriki kwa wingi ktk upigaji wa kura.
Lakini pia Anaishauri Tume ya Uchaguzi ya Kenya Iwe inaandikisha Wapiga Kura kila mwaka!!
Source: TBC Taarifa ya Habari Usiku!
NB:
Je Kinana haoni kwamba kuna umuhimu wa Yeye Badala ya kuishauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Kenya, angeishauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania kutoa somo la uraia kwa Watanzania kushiriki kwa wingi ktk upigaji kura pamoja na kuandikisha Wapiga kura kila Mwaka ili kuwapa nafasi Vijana kujiandikisha?
KINANA Anaonaje"KIBANZI"kwenye jicho la mwenzake ingali hajatoa Boriti Jichoni mwake?
Safari ya Abdallaman Kinana kwenda Kenya katika kipindi hiki cha uchaguzi kinatia wasiwasi kwa watanzania hasa ukizingatia CHADEMA wametoa support kubwa kwa Odinga, Na niwazi CCM wapo kwa kumsupport Uhuru Kinyatta.
Lakini uswahiba huo ulimetiwa doa na Waziri wa Ujenzi John Magufuri kuwa karibu na Laila Odinga,na alivyokuja katika ziara ya binafsi huku Tanzania walikuwa karibu sana hadi kwenda wote Zanzibar na kitendo hicho hakikuwafurahisha vigogo wa CCM!!Lakini wakasahau kuwa hawa watu wamesoma wote!
Kwa hiyo kitendo cha Kinana kuwa kwenye pirika za uchaguzi za Kenya zinaweza kuleta madhara makubwa kwa Tanzania hasa kwa kipindi cha uchaguzi ujao wa 2015.Naomba hilo liwe angalizo.
Kinana ni mwizi wa PEMBE ZA NDOVU
yawezekana kasafisha nyara za serikali.
na wewe ni mwizi wa ukweli, huna lolote, mwizi wa pembe ni wewe na vizazi vyako, ndio mnaobebeshwa pembe na wabulishi na waarabu. kinana hamumwezi , kwa hivyo mumebaki vizingizio. kaangalie mipaka ya kenya upande wa kilimanjaro uone hiyo magendo ya pembe na vinginevyo vinavyo pitishwa.