bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
:smile-big::smile-big::smile-big:inabidi usjue meaning za color
wewe Lady N maua kwako yanakupa mzuka au?
:smile-big::smile-big::smile-big:inabidi usjue meaning za color
like wat?Am learning here...:A S-heart-2::A S-heart-2:
like wat?
:smile-big::smile-big::smile-big:inabidi usjue meaning za color
mi bado mshamba sana, chochote nitakacholetewa yawe maua au apple havina uhusiano kabisa na mapenzi!
Kama we mshamba basi ndo mi nawapenda....ntakuletea zawadi ya mtetea na jogoo kwenye tenga!
apo mnafaidi wote kwa mara moja manake itapikwa bonge la biriani hapo hommie...so unakuwa hujapoteza kiviiiile
Lakini huyu Rose80 kanikuna kwa mchango wake...kwamba saa nyingine hakuna correlation ya moja kwa moja kati ya zawadi na uzito wa mapenzi..wengine wanafanya kuiga tu na kulingana na makuzi
Zawadi pekee ya kumpa mpenzi wako ni mapenzi ya dhati...mpe mpenzi wako moyo wako....ndo zawadi ya muhimu kabisa yenyewe
Hapo hommie ungemalizia na baioloji yako yote!
Mimi bwana zawadi ya pekee na muhimu sana nayoitaka toka kwa mpenzi wangu ni baiolojia yake! Hayo maua peleka huko bustanini, makadi yaache huko steshenare, manguo yaache huko madukani.....we njoo kama ulivyo na baioloji yako unipe zawadi yangu niitumie nitakavyo!
Hapo hommie ungemalizia na baioloji yako yote!
Mimi bwana zawadi ya pekee na muhimu sana nayoitaka toka kwa mpenzi wangu ni baiolojia yake! Hayo maua peleka huko bustanini, makadi yaache huko steshenare, manguo yaache huko madukani.....we njoo kama ulivyo na baioloji yako unipe zawadi yangu niitumie nitakavyo!
Hommie hapo uko serious ama maomboi ya Smiles na queenkami yamekukubali? umpe baiolojia yote?:A S 13::A S 13::hand:
Mnaniua mie na cheko,lol. binamu we bailogia tu inatosha. kazi kwelikweli.
yeswewe Lady N maua kwako yanakupa mzuka au?
ngoja nikasome kwenye lile daftari langu la form2 nililoandikaga nitakuleteaSasa naomba unifundishe aina na rangi za maua
Hapo hommie ungemalizia na baioloji yako yote!
Mimi bwana zawadi ya pekee na muhimu sana nayoitaka toka kwa mpenzi wangu ni baiolojia yake! Hayo maua peleka huko bustanini, makadi yaache huko steshenare, manguo yaache huko madukani.....we njoo kama ulivyo na baioloji yako unipe zawadi yangu niitumie nitakavyo!
hapo hommie ungemalizia na baioloji yako yote!
Mimi bwana zawadi ya pekee na muhimu sana nayoitaka toka kwa mpenzi wangu ni baiolojia yake! Hayo maua peleka huko bustanini, makadi yaache huko steshenare, manguo yaache huko madukani.....we njoo kama ulivyo na baioloji yako unipe zawadi yangu niitumie nitakavyo!
Binamu upo? Pole chama chako kimesambaratika kama CCJ!