Kinachoendelea Tanzania kuhusu mfumuko wa bei ni hatari kwa ustawi wa maendeleo ya wananchi na usalama wa nchi

Ndugu zangu watz wenzangu nadhan mtakuwa nami juu ya kinachoendelea kwa sasa katika nchi yetu

Wafanyabiashara saiz wanajiamulia bei gan watupige na kila siku wanapandisha bei hasa wakijisikia kitu ambacho ni hatar sn kwa usalama wa nchi

Kibaya zaid pamoja na bei za vitu kupanda kila siku yan ni kama hatuna viongoz yan ni kama nchi inajiendesha yenyewe.....Rais yupo,wazir mkuu yupo,mawazir wapo lkn masikin ya Mungu hakuna hata mmoja mmoja anaeumia na kuumizwa kwa wananchi hawa watz ndio kwanza kila mtu yuko bize kuangalia anavunaje sehem aliyopo

Hali hio sasa imetoka kwenye chakula imeenda had kwenye mawasiliano ya simu yan saiz wanajibadilishia tu vifurushi kila wanapojisikia ....yan kwa kweli hali ni mbaya sn tena sn na masikin ya Mungu watz hawa hatujui hata haki zetu tunasubir wakina CHADEMA au NCCR ndio watusemee bila wao kufanya hivo kila mtu yuko kimya hadi vile vyama vyetu vya kiraia ambavyo sijui viko wapi siku hizi

Hebu imagine unakwenda sokon lkn unakuta kila mtu anauza vitu kwa bei yake na wala hata hawana wasiwas wao wanasema wanafidia kipind kigum cha mwendazake

Hiv kweli Tanzania tumefikia huku kweli jaman,mbona inasikitisha sn jaman
Huyu mwananchi wa kawaida kabisa anaishije kwa hali hii?

Nadhan sasa umefika wakati wa wanachi wa Tanzania kuleta umoja wetu na kureact bila kujali utofaut wa vyama vyetu,dini zetu wala ukanda wetu na kuacha kutegema vyama vya siasa kutusemea katika matatizo yetu
Serikal imeshindwa mapema sn katika hili la mfumuko wa bei hivo ni wakati wetu sisi wananchi kuondoa tofauti na kuwa kitu kimoja katika hali hii mbaya kabisa katika ustawi wa taifa na maendeleo ya wananchi

Naomba kuwasilisha
Kwa nabii LEMA anasemaje?
 
Ndugu zangu watz wenzangu nadhan mtakuwa nami juu ya kinachoendelea kwa sasa katika nchi yetu

Wafanyabiashara saiz wanajiamulia bei gan watupige na kila siku wanapandisha bei hasa wakijisikia kitu ambacho ni hatar sn kwa usalama wa nchi

Kibaya zaid pamoja na bei za vitu kupanda kila siku yan ni kama hatuna viongoz yan ni kama nchi inajiendesha yenyewe.....Rais yupo,wazir mkuu yupo,mawazir wapo lkn masikin ya Mungu hakuna hata mmoja mmoja anaeumia na kuumizwa kwa wananchi hawa watz ndio kwanza kila mtu yuko bize kuangalia anavunaje sehem aliyopo

Hali hio sasa imetoka kwenye chakula imeenda had kwenye mawasiliano ya simu yan saiz wanajibadilishia tu vifurushi kila wanapojisikia ....yan kwa kweli hali ni mbaya sn tena sn na masikin ya Mungu watz hawa hatujui hata haki zetu tunasubir wakina CHADEMA au NCCR ndio watusemee bila wao kufanya hivo kila mtu yuko kimya hadi vile vyama vyetu vya kiraia ambavyo sijui viko wapi siku hizi

Hebu imagine unakwenda sokon lkn unakuta kila mtu anauza vitu kwa bei yake na wala hata hawana wasiwas wao wanasema wanafidia kipind kigum cha mwendazake

Hiv kweli Tanzania tumefikia huku kweli jaman,mbona inasikitisha sn jaman
Huyu mwananchi wa kawaida kabisa anaishije kwa hali hii?

Nadhan sasa umefika wakati wa wanachi wa Tanzania kuleta umoja wetu na kureact bila kujali utofaut wa vyama vyetu,dini zetu wala ukanda wetu na kuacha kutegema vyama vya siasa kutusemea katika matatizo yetu
Serikal imeshindwa mapema sn katika hili la mfumuko wa bei hivo ni wakati wetu sisi wananchi kuondoa tofauti na kuwa kitu kimoja katika hali hii mbaya kabisa katika ustawi wa taifa na maendeleo ya wananchi

Naomba kuwasilisha
Ukweli hali ya mfumuko wa bei inatisha ila naomba nikurekebishe kidogo,
Uchumi wa nchi yetu unaendeshwa na soko huria kwa sasa hivyo issue ya bei ya bidhaa inaamuliwa na kanuni za soko huria sio serikali.

Kwenye soko huria bei ya bidhaa inaamuliwa na nguvu ya soko(forces of demand and supply).Katika mfumo wa soko huria ni ngumu sana serikali kupanga bei ya bidhaa sokoni.

Katika mazingira ya sasa tatizo lililopo uhitaji ni mkubwa kuliko usambazaji/uzalishaji hii ni
moja ya sababu ya huu mfumuko wa bei.

Ziko sababu nyingine zinazoweza kuathiri bei ya bidhaa sokoni mfano kupanda na kushuka kwa thamani ya dola kunaweza kuathiri bei ya bidhaa kutoka nje ya nchi.

Ukame na majanga ya asili pia kunaweza pelekea bidhaa fulani ikawa haba sokoni.Mfano mzuri ni nafaka zinavyopanda bei nyakati za ukame ambapo mavuno yanapokuwa haba.

Kupanda kwa Bei ya nishati kama mafuta na umeme kunaongeza gharama za uendeshaji na kupelekea bidhaa kupanda bei.

Sera za nchi pia kwa sasa nazo zinachangia hii hali tunayoiona leo.Sera ya uchumi wa viwanda imesababisha uzuiaji wa bidhaa nyingi kutoka nje kwakuziongezea ushuru ili kulinda viwanda vya ndani ambavyo kwa hali inayoonekana viwanda vya ndani vinazalisha kidogo kuliko mahitaji ya soko hivyo imepelekea bei ya bidhaa kupanda.

Mifano michahche ya bidhaa zilizo ongezewa ushuru kutoka nje ni sukari na Mafuta ya kula ambavyo tunaona hali ilivyo mbaya.Mipakani mfano Tunduma wanatumia sukari kutoka Zambia wananunua tsh 2000 kwa kilo wakati Tanzania hali ya bei ya sukari ni mbaya.

Suluhusho la huu mfumuko ni serikali kutizama sera zake ili kuokoa hii hali.Serikali iruhusu bidhaa kutoka nje kwa utaratibu maalumu ili kulinda viwanda vya ndani lakini pia isiumize wananchi.

Serikali ipunguze tozo kwenye nishati.Ukifuatilia nishati kama mafuta serikali imeweka tozo nyingi mno zote hizi ni tatizo.

Kwakweli hali mtaani ni mbaya sana.

Kwa uchache ni hayo.
 
Kwa ufafanuzi wako wa ovyo kama huu bora nchi ikae bila rais kwa miaka hiyo mitatu kusubiri hali ijitengeneze yenyewe.serikali ndio yenye wajibu wakuboresha hali za wananchi wake.tena kama hii serikali ya sasa haina utetezi wowote kwasababu aliyebadilika ni mmoja tu,sera na mipango yote hiyo unayosema ilikua ya Jpm wanaijua na walikua wanaitekeleza kwahiyo kama walishindwa uko nyuma kamwe usitegemee hiyo miaka mitatu kutakua na jipya lakutisha nasio vyema kutupa lawama kwa Jpm wakati waliopo sasa ni wale wale waliokua watendaji wa Jpm.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Jua kwamba watu waliopo ni wale wale ila mwendazake alikua dictator asie penda kukosolewa, anawza kuua mtu wakitofoutiana mtizamo tu, lazima tusubiri probation period ya miaka mitatu kwasabb kubadili sera na sheria ni mchakato sio tukio, sera mbovu za mwendazake fisical and economic policy lazima zipitie bunge, ndo zibadilishwe, naona hili limeanza private sector imeanza kupata nguvu na watu binfsi wameanza kuwekeza mdogo mdogo.
 
Nzuri lipi mkuu? Mwendazake kaua sekita nyingi kwa kutaka sifa na umarufu wa kisiasa, hata vile vizuri alishindwa kuvifanyia business plan, kama ATC hamna anae isema ila inaingiza hasara kila siku.........mazuri yake ni ya kutafuta tu.
Vipi nyinyi na chama chako mmeshafanya zuri gani?
 
Una malalamiko ya msingi ila unaowalalamikia sio watu sahihi kulalamikiwa. Wafanyabiashara sio chanzo cha kupanda kwa bei za vitu, pia hakuna kosa lolote kwenye uchumi wa soko huria wafanyabiashara tofauti kuuza bidhaa kwa bei tofauti ambazo kila mmoja anaona zina faida kwake.

Malalamiko yako yaelekeze wizara ya fedha na uchumi pamoja na benki kuu ya Tanzania (BoT), hao ndip wenye uwezo sahihi wa kurekebisha mfumoko wa bei, sehemu nyingine yoyote ni siasa tupu.
 
Ukweli hali ya mfumuko wa bei inatisha ila naomba nikurekebishe kidogo,
Uchumi wa nchi yetu unaendeshwa na soko huria kwa sasa hivyo issue ya bei ya bidhaa inaamuliwa na kanuni za soko huria sio serikali.

Kwenye soko huria bei ya bidhaa inaamuliwa na nguvu ya soko(forces of demand and supply).Katika mfumo wa soko huria ni ngumu sana serikali kupanga bei ya bidhaa sokoni.

Katika mazingira ya sasa tatizo lililopo uhitaji ni mkubwa kuliko usambazaji/uzalishaji hii ni
moja ya sababu ya huu mfumuko wa bei.

Ziko sababu nyingine zinazoweza kuathiri bei ya bidhaa sokoni mfano kupanda na kushuka kwa thamani ya dola kunaweza kuathiri bei ya bidhaa kutoka nje ya nchi.

Ukame na majanga ya asili pia kunaweza pelekea bidhaa fulani ikawa haba sokoni.Mfano mzuri ni nafaka zinavyopanda bei nyakati za ukame ambapo mavuno yanapokuwa haba.

Kupanda kwa Bei ya nishati kama mafuta na umeme kunaongeza gharama za uendeshaji na kupelekea bidhaa kupanda bei.

Sera za nchi pia kwa sasa nazo zinachangia hii hali tunayoiona leo.Sera ya uchumi wa viwanda imesababisha uzuiaji wa bidhaa nyingi kutoka nje kwakuziongezea ushuru ili kulinda viwanda vya ndani ambavyo kwa hali inayoonekana viwanda vya ndani vinazalisha kidogo kuliko mahitaji ya soko hivyo imepelekea bei ya bidhaa kupanda.

Mifano michahche ya bidhaa zilizo ongezewa ushuru kutoka nje ni sukari na Mafuta ya kula ambavyo tunaona hali ilivyo mbaya.Mipakani mfano Tunduma wanatumia sukari kutoka Zambia wananunua tsh 2000 kwa kilo wakati Tanzania hali ya bei ya sukari ni mbaya.

Suluhusho la huu mfumuko ni serikali kutizama sera zake ili kuokoa hii hali.Serikali iruhusu bidhaa kutoka nje kwa utaratibu maalumu ili kulinda viwanda vya ndani lakini pia isiumize wananchi.

Serikali ipunguze tozo kwenye nishati.Ukifuatilia nishati kama mafuta serikali imeweka tozo nyingi mno zote hizi ni tatizo.

Kwakweli hali mtaani ni mbaya sana.

Kwa uchache ni hayo.
Matrilioni wanayolipiwa huko Stigler na SGR ni kwa dolari au pesa za madafu?
 
Jua kwamba watu waliopo ni wale wale ila mwendazake alikua dictator asie penda kukosolewa, anawza kuua mtu wakitofoutiana mtizamo tu, lazima tusubiri probation period ya miaka mitatu kwasabb kubadili sera na sheria ni mchakato sio tukio, sera mbovu za mwendazake fisical and economic policy lazima zipitie bunge, ndo zibadilishwe, naona hili limeanza private sector imeanza kupata nguvu na watu binfsi wameanza kuwekeza mdogo mdogo.
Miaka mitatu mingi sana, Wizara ya fedha na BoT lazima waje na mpango maalum katika kipindi kifupi kurekebisha hali, watu wa kipato cha chini wanaumizwa sana na hii hali.
 
Miaka mitatu mingi sana, Wizara ya fedha na BoT lazima waje na mpango maalum katika kipindi kifupi kurekebisha hali, watu wa kipato cha chini wanaumizwa sana na hii hali.
Mpango kama upi? Bot ikiamua kushusha riba kwenye Bank za biashara ( intrest on Bank rate ) kwahali yasasa tuta pata inflation au mfumko wa bei na kushuka kwa thamani ya shilling ya Tz dhidi ya dollar, tusubiri natural growth of the economy, angalau miaka miwili, ndoturapata hali ya uchumi wa kweli......kwa sasa uzalishaji uko chini sanaa pesa ikiwa nyingi in circulation lazm bei intapanda tu, naona policy ya serikali iko sawa
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ndugu zangu watz wenzangu nadhan mtakuwa nami juu ya kinachoendelea kwa sasa katika nchi yetu

Wafanyabiashara saiz wanajiamulia bei gan watupige na kila siku wanapandisha bei hasa wakijisikia kitu ambacho ni hatar sn kwa usalama wa nchi

Kibaya zaid pamoja na bei za vitu kupanda kila siku yan ni kama hatuna viongoz yan ni kama nchi inajiendesha yenyewe.....Rais yupo,wazir mkuu yupo,mawazir wapo lkn masikin ya Mungu hakuna hata mmoja mmoja anaeumia na kuumizwa kwa wananchi hawa watz ndio kwanza kila mtu yuko bize kuangalia anavunaje sehem aliyopo

Hali hio sasa imetoka kwenye chakula imeenda had kwenye mawasiliano ya simu yan saiz wanajibadilishia tu vifurushi kila wanapojisikia ....yan kwa kweli hali ni mbaya sn tena sn na masikin ya Mungu watz hawa hatujui hata haki zetu tunasubir wakina CHADEMA au NCCR ndio watusemee bila wao kufanya hivo kila mtu yuko kimya hadi vile vyama vyetu vya kiraia ambavyo sijui viko wapi siku hizi

Hebu imagine unakwenda sokon lkn unakuta kila mtu anauza vitu kwa bei yake na wala hata hawana wasiwas wao wanasema wanafidia kipind kigum cha mwendazake

Hiv kweli Tanzania tumefikia huku kweli jaman,mbona inasikitisha sn jaman
Huyu mwananchi wa kawaida kabisa anaishije kwa hali hii?

Nadhan sasa umefika wakati wa wanachi wa Tanzania kuleta umoja wetu na kureact bila kujali utofaut wa vyama vyetu,dini zetu wala ukanda wetu na kuacha kutegema vyama vya siasa kutusemea katika matatizo yetu
Serikal imeshindwa mapema sn katika hili la mfumuko wa bei hivo ni wakati wetu sisi wananchi kuondoa tofauti na kuwa kitu kimoja katika hali hii mbaya kabisa katika ustawi wa taifa na maendeleo ya wananchi

Naomba kuwasilisha

Mfumuko wa bei ni kwa sababu Mama amefungua nchi-Zitto Kabwe!
 
Katika uchumi bei ya vitu inakua determine na forces of demand and supply, sio serikali au wafanya biashara bei zikipanda jua tu uzalishaji wa vitu umeshuka au idadi ya watumiaji imeogezeka, Raisi ambaye amekaa miazi 9 madarakani hasihusishe na bei ya vitu kwasasa, mwendazake ndo alievuruga sector binafsi na kutimua wawekezaji binfsi. Tutakuja kupata unafu baada ya miaka kama 3. Ndotutaanza kumlaumu Raisi sio kwa kwasasa

Hebu twambie kimetokea nini ikiwa bei za bidhaa na huduma zimepanda maradufu baada ya budget ya kwanza ya Mama!?Take in note (usisaha ongezeko la kodi na tozo kwenye huduma na bidhaa) hivi mnafikiri watanzania wote ni wajinga hawafatilii na awaoni?
 
mwendazake ndo alievuruga sector binafsi na kutimua wawekezaji binfsi. Tutakuja kupata unafu baada ya miaka kama 3. Ndotutaanza kumlaumu Raisi sio kwa kwasasa
Pamoja na definition uliyoitoa ambapo kimsingi ni yq vitabuni, umevuruga kwa kutoka nje ya vitabu ulivyonukuu kwa kuanza kulaumu bila kuweka facts.

Uhalisia ni tofauti na hayo mavitabu na especially kwa TZ hii inayoongozwa na brainless.

Mfumuko wa bei unaweza tengenezwa na kina Jan + Msoga team
 
Pamoja na definition uliyoitoa ambapo kimsingi ni yq vitabuni, umevuruga kwa kutoka nje ya vitabu ulivyonukuu kwa kuanza kulaumu bila kuweka facts.

Uhalisia ni tofauti na hayo mavitabu na especially kwa TZ hii inayoongozwa na brainless.

Mfumuko wa bei unaweza tengenezwa na kina Jan + Msoga team
Huyu maza ameharibu sn nchi yetu
 
Back
Top Bottom