Kinachoendelea Serikalini na CCM ni kama vile hawana Maridhiano na CHADEMA, Mbowe na Lissu nani mkweli?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,036
142,129
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Mbowe alisema CHADEMA haitaingia kwenye mtego wa kuvunja Maridhiano kamwe kwasababu Vikao vya Maridhiano pekee ndio vitaliponya Taifa.

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu akasema, Maridhiano yalishavunjika toka mwezi May kwa sababu CCM ilikataa Mapendekezo yote waliyopelekewa na CHADEMA!

Sasa Serikali imemteua Mwenyekiti wa CCM kuwa DED, je hili ni tunda la Maridhiano?

Kati ya Mbowe na Tundu Lissu nani anasema Ukweli?

Dominica Njema 😄
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe alisema Chadema haitaingia kwenye mtego wa kuvunja Maridhiano kamwe kwa y Vikao vya Maridhiano pekee ndio vitaliponya Taifa

Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu akasema, Maridhiano yalishavunjika toka mwezi May kwa sababu CCM ilikataa Mapendekezo yote waliyopelekewa na Chadema

Sasa Serikali imemteua Mwenyekiti wa CCM kuwa DED, je hili ni tunda la Maridhiano?

Kati ya Mbowe na Tundu Lisu nani anasema Ukweli?

Dominica Njema 😄
Hii ni dharau kubwa sn kwa katiba na wakuu wa idara
 
Maridhiano yalikuwa yakienda vizuri sana chini ya mwenyekiti wetu, toka mzee wa faragha aingie amevuruga kila jema lililokuwepo.
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe alisema Chadema haitaingia kwenye mtego wa kuvunja Maridhiano kamwe kwa y Vikao vya Maridhiano pekee ndio vitaliponya Taifa

Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu akasema, Maridhiano yalishavunjika toka mwezi May kwa sababu CCM ilikataa Mapendekezo yote waliyopelekewa na Chadema

Sasa Serikali imemteua Mwenyekiti wa CCM kuwa DED, je hili ni tunda la Maridhiano?

Kati ya Mbowe na Tundu Lisu nani anasema Ukweli?

Dominica Njema 😄
Haya mambo yanalidhoofisha taifa taratibu, kwanini tuasiachane na mambo ya vyama tujenge nchi sote kwa ujumla wetu kama familia?
 
Maridhiano ni muhimu ila kila mmoja anaendelea na sera zake. Tuendako hakuna Chama kinachoweza kutamba kuweza kuongoza Tanzania peke yake bila ushirikiano na mwenzake hasa kwa CCM na Chadema.
 
Haya mambo yanalidhoofisha taifa taratibu, kwanini tuasiachane na mambo ya vyama tujenge nchi sote kwa ujumla wetu kama familia?
Umenena vema tutatumia njia gani KUPATA wenyeviti mitaan,vitongoji,vijiji ,madiwan,wabunge na rais?tukifanikiwa hapo haya mambo mengine hayatatushinda.
 
Lisu ni mkweli muda wote na huwa hapindishi, Mbowe ana huruma fulani hivi
Haiba na hulka ya Lissu huwa haibadiliki, yeye ni mkweli kabisa ndani ya nafsi yake yote, na hiyo hutokana na dhati ya moyo wake wote, kwa kuwa kile anachokiamini na kukisimamia.humsukuma kufanya hivyo Yeye ni muumini wa "win-win situation" ambao ni wenye asili na mlengo wa kihafidhina zaidi.

Mwenyekiti Taifa ni muumini wa siasa za "take & give" kwa hiyo ni muumini wa "win-loose situation" na mlengo wake ni wa ki "liberal" zaidi ambapo pia ni kete adimu sana ya kukaa pamoja na hasimu wa kimashaka wa kisiasa kama CCM katika meza ya maridhiano.

Kwa aina ya siasa za ki-CCM chama makini kama CDM kinahotaji maamuzi ya hekima katika suala zima la maridhiano. Wote wawili wapo sahihi ila muda ndiyo ambao ataamua ni mlengo upi unaaminika ili kufanya "buy or decline decision"
 
Haya mambo yanalidhoofisha taifa taratibu, kwanini tuasiachane na mambo ya vyama tujenge nchi sote kwa ujumla wetu kama familia?
Tuachane vp na mambo ya vyama wkt CCM wanaimaliza nchi na kuiacha mifupa mitupu?
 
Haiba na hulka ya Lissu huwa haibadiliki, yeye ni mkweli kabisa ndani ya nafsi yake yote, na hiyo hutokana na dhati ya moyo wake wote, kwa kuwa kile anachokiamini na kukisimamia.humsukuma kufanya hivyo Yeye ni muumini wa "win-win situation" ambao ni wenye asili na mlengo wa kihafidhina zaidi.

Mwenyekiti Taifa ni muumini wa siasa za "take & give" kwa hiyo ni muumini wa "win-loose situation" na mlengo wake ni wa ki "liberal" zaidi ambapo pia ni kete adimu sana ya kukaa pamoja na hasimu wa kimashaka wa kisiasa kama CCM katika meza ya maridhiano.

Kwa aina ya siasa za ki-CCM chama makini kama CDM kinahotaji maamuzi ya hekima katika suala zima la maridhiano. Wote wawili wapo sahihi ila muda ndiyo ambao ataamua ni mlengo upi unaaminika ili kufanya "buy or decline decision"
CCM haina lengo zuri hata kidogo, Lissu yeye yupo tayari kuwasha moto muda wowote
 
Back
Top Bottom