pixel
JF-Expert Member
- Jun 22, 2012
- 1,630
- 406
Bado zzk ni shuja, mlango mmoja ukifungwa mwingine hufunguliwa
sio mbaya,lakini sijajua huo ni ushujaa wa aina gani mtu anayekua pembeni mwa CCM,akishabikiwa na CCM halafu akaja kuiokoa TZ kwa kuwadhibiti Mafisadi na wala nchi.yani vijana wa CCM wakufurahie mtu unayetaka kuwaondoa?hiyo sio CCM.tusubiri tuone