Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Serikali kupitia mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, wameamuru wale wote wanaowashawishi wananchi kugoma kuhesabiwa waburuzwe mahakamani.
Source: TBC1, taarifa ya habari saa 2.
Je ni nani kati ya Ponda na serikali atashinda mvutano huu.
Source: TBC1, taarifa ya habari saa 2.
Je ni nani kati ya Ponda na serikali atashinda mvutano huu.