Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,708
Duh hapa kanena ukweli mtupu ila inapotokea wife kawahi kutoka kaniacha nimelala then anakuja house girl asubuh saa 12 na kanga 1 ya india kufanya usafi hafanyiwi kosa maana muda huo inakuwa na nguvu sana isitoshe tunakuwa hatuna akili vzuri tunaishia kupeana tamu!
hukupaswa kuoa kama unashindwa vishawishi,i bet hata huko mitaani ni fagia fagia,kuna wahudumu wa baa mama ntilie wote hao wanaserve ili siku yako iende vizuri,je wote hao unawatamani na kuwapitia? utaleta ukimwi nyumbani.