Asnam
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 4,256
- 2,944
Mh.... sio kweli
Asnam nahisi wewe ni ndugu yangu, kama sio ndugu yangu basi ni wa kule kule kwetu.... Make huwa naharibu kukusoma naona twafanana fanana.....
ukute we ni sista wangu make hapo rocky city nina ndg kibao teh teh teh..................eti nikimbilie ndoa kisa umri umeenda loh charminglady ntaingia huko nikiamua na kuona sasa ninahitaji kukaa nyumbani na mtu as husband and wife haijalishi niko 22,25 or 30,40 ilimradi nimeridhia toka moyoni maana ndoa ni kijiba cha roho.
Last edited by a moderator: