Kinyengeli
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 452
- 142
Kuna ukweli ambao binafsi nimeuona kwa shemeji yangu naye ishi nae, yaani amekata tamaa ya kuolewa wakati yupo 24 age. Sasa hv amekuwa muumini mzuri sana wa kanisa. kapoteza kabisa kujiamini lakini najitahidi kumshauri asione kama kuolewa ni kila kitu na nashukuru ameanza kubadili mtazamo huo potofu.