Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,413
- 11,065
Hello JF,
Sup ya kimangungo version II ya sakata la Bandari.
Kimuundo CCM ni chama ambacho mtu akiwa Rais na mwenyekiti anakuwa mungu wa nchi na wana CCM wenyewe, ni zaidi ya Mfalme.
Kwa maana hiyo secretariat ya CCM huko kwenye majukwaa hawa akina Chongolo na mapopoma wengine wote wa CCM wako kama tumbili au ngedere wapiga kelele kama za Chula.
Hawaelewi chochote. Uzezeta ni zao la kupwaya kiakili na ukosefu wa maarifa mtambuka.
CCM kwa sasa ni tambala bovu.
Kule kokoto mkifura.
Ni hayo bado tutakuja na mawe zaidi.
Wadiz ndio mimi.
Sup ya kimangungo version II ya sakata la Bandari.
Kimuundo CCM ni chama ambacho mtu akiwa Rais na mwenyekiti anakuwa mungu wa nchi na wana CCM wenyewe, ni zaidi ya Mfalme.
Kwa maana hiyo secretariat ya CCM huko kwenye majukwaa hawa akina Chongolo na mapopoma wengine wote wa CCM wako kama tumbili au ngedere wapiga kelele kama za Chula.
Hawaelewi chochote. Uzezeta ni zao la kupwaya kiakili na ukosefu wa maarifa mtambuka.
CCM kwa sasa ni tambala bovu.
Kule kokoto mkifura.
Ni hayo bado tutakuja na mawe zaidi.
Wadiz ndio mimi.