Jigsaw
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,823
- 680
Hao walio mtema Lowassa unaowaita CCM ndio wale walio tumbuliwa na wana nchi kwenye kugombea Ubunge na wale walio penya ndio Magufuli ana malizia kuwatumbua. Who won?....Tuco Benedicto Pacifico Juan Maria Ramirez.Lowasa hakuwahi kufanikisha lolote kitaasidi kwenye utendaji wake. Anajijenga binafsi,siyo taasisi,mwenye kinyongo na kulipa kisasi.CCM walimtema kwani alijiona mkubwa kuliko CCM,kumbuka mafuriko ya Monduli,rejea ya Dodoma wajumbe kuimba kuwa wana imani na Lowasa,siyo CCM,baada ya kukatwa. CDM kinamalizwa na huyo mmeru,hana ubunifu ili kupambana na wakati.