bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,371
- 24,606
Mwanamke anazaa nje halafu anakudharau unamlisha unamtunza unamuacha aende TU kwa anamuheshimu,huko nje napo akienda anaenda pigwa chini
Kuliwa ni tabia ya mtu uwe na hela usiwe analiwa TU.Asilimia kubwa ya wanawake duniani kote wamepanda pesa
Ila mapenzi hakuna ndio maharusi usione ajabu kutokea hayo...Mungu atusaidie
Hata kama ni mtoto wa billionaire aachike tu. Siwezi kulea watoto ambao sio wangu kwa muda wote ule alafu nitaendelea kuishi na mwanamke pretending everything is normal and we are happy.Huyo mwanamke ni mtoto wa Bilionea.
Mwanamke ndie shetani mwenyewe!
Ndoa ya Nyota wa zamani wa Chelsea na timu ya Taifa ya Cameroon, Geremi Njitap ipo katika mchakato wa talaka baada ya kubainika Watoto Mapacha waliozaliwa Mwaka 2008 miaka minne kabla ya kufunga ndoa na mkewe, Toukam Fotso Laure Verline si wake Kibaiolojia
Geremi (45) amefungua kesi Mahakamani akitaka ndoa ivunjike baada ya Vipimo vya Vinasaba (DNA) kuonesha Mapacha hao ambao mkewe alimuaminisha ni wa kwake, ni wa mwenza wa zamani wa Toukam
Nyaraka zilizovuja Mtandaoni zimeonesha Geremi amelalamika kukosewa heshima na mkewe ambaye alikuwa akimtolea lugha ya dharau mbele ya Watoto hao pia walikuwa na migogoro ya mara kwa mara
Geremi akiwa Beki wa Kulia mwenye uwezo wa kucheza nafasi ya Kiiungo Mkabaji alicheza pia katika Timu za Real Madrid, Middlesbrough na Newcastle United
---
Geremi Njitap has reportedly sent his wife packing after allegedly finding out he fathered twins that were never his during their 12 years of marriage.
Former Cameroonian footballer Geremi Njitap, known for his stellar career with Chelsea, has made the headlines, this time for some shocking details about his personal life.
The 45-year-old former Blues right back has sparked controversy over his recent divorce filing against his wife of 12 years, Toukam Fotso Laure Verline.
The couple's union, once seen as a symbol of love and stability, has reportedly crumbled under the weight of startling revelations that have sent shockwaves through the Cameroonian media landscape.
In a bombshell revelation detailed in court documents obtained exclusively by Cameroon News Agency and as reported by Mimimemofo Infos, Njitap alleges a series of disturbing events that have led to the demise of his marriage to Toukam Fotso Laurie Verline, the daughter of the late Cameroonian billionaire, Fotso Victor.
Geremi Njitap and his wife Toukam Fotso Laurie Verline are at crossroads over an alleged paternity fraud
Among the most shocking claims is Njitap's assertion that the twins the couple welcomed in 2008 are not biologically his, as previously believed.
Instead, Geremi alleges that a DNA test reveled that the twins are the offspring of his wife's previous partner, a revelation that has stunned fans and followers alike.
According to court documents obtained by the aforementioned outlet, is Toukam Fotso Laure's alleged deceit regarding the paternity of their twin children.
A DNA test reportedly proved Geremi Njitap is not the biological father of his wife’s twins
Born on June 5, 2008, four years before their marriage, Toukam presented the twins as her own, allegedly misleading Njitap into believing they were his biological offspring.
But the drama doesn't end there.
In the documents obtained from aforementioned outlet, Njitap paints a picture of marital discord, citing his wife's alleged rejection of sexual intimacy as a major point of contention in their relationship.
Geremi Njitap and his wife Toukam Laurie Verline are at crossroads over an alleged paternity fraud
Furthermore, the former Indomitable Lion alleges verbal mistreatment at the hands of his spouse, claiming that he has been subjected to insults and derogatory language in front of their children.
Geremi Njitap alleged via the divorce papers that he had endured series of verbal abuse from his wife during their 12 years of marriage. These explosive allegations have cast a shadow over what was once perceived as a picture-perfect marriage.
During his playing days, Geremi Njitap was known for his versatility, being able to to play at right back, right midfield or defensive midfielder.
Hapo nilikuwa nime_comment kuhusu ishu ya pesa. Kuwa huyo sio mshanba wa pesa.Hata kama ni mtoto wa billionaire aachike tu. Siwezi kulea watoto ambao sio wangu kwa muda wote ule alafu nitaendelea kuishi na mwanamke pretending everything is normal and we are happy.
Ndiyo maana mimi nilipima DNA watoto wangu wote kabla ya kumjengea nyumba mke wangu kwao. Nakataa kabisa kuwa siwezi na sitaki kulea mtoto wa mwanamme mwenzangu na siku nikigundua mke wangu anachapwa na mtu mwingine ndiyo mwisho wa ndoa yetu.
Moja ya kitu ambacho wanawake hawataki kukisikia ni hiki DNA,siku mchakato wa DNA Tz ukiwa mrahisi,ndoa nyingi zitaenda na maji kwani inauma kulea bao la mwenzio.
Wanawake kwa kupiga kelele utawasikia wakitusema wanaume sio waaminifu,kumbe huu mchakato mgumu wa kipimo hiki cha DNA Tz una wasitiri.
Huyu mwamba na body lake,hela aliyokuwa akilipwa plus mzigo wa nguvu aliokuwa akiupiga pale Chelsea ila bado kachapiwa.
Nawaomea huruma wanao hangaika na Gym,michuzi ya pweza,vifurushi vya mihogo na karanga pamoja ana Alkasusu,ila wakae wakijua kama,wanawake zao hawa jitambui wala kuwa na hofu ya Mungu ndani yao kugongewa ni kawaida,haijalishi kama unahela au kitandani una pumzi kwani Geremi ana hivyo vyote.
Kuchapiwa kunaweza kusameheka, but kuzaa nje hakusameheki. Hata kanisa limeweka wazi kabisa sababu za kuzaa nje kwa makusudi ni kosa kubwa mno, huyo mama kazaa na kamfanganya jamaa for 12 yrs? Unataka apotezee kirahis
You dont uzito wa tatizo until utakapo simama kwenye viatu vya watu
Hakuna mke asiyechapwa nje. Mark my words. Ni kwamba tu haujui ila hakunaNdiyo maana mimi nilipima DNA watoto wangu wote kabla ya kumjengea nyumba mke wangu kwao. Nakataa kabisa kuwa siwezi na sitaki kulea mtoto wa mwanamme mwenzangu na siku nikigundua mke wangu anachapwa na mtu mwingine ndiyo mwisho wa ndoa yetu.
Hahahaha Dah.Watanzania wote wakifanya vipimo vya DNA kutakuwa na msiba wa Taifa.
Hivi unaosama unachoandika? Hiyo mtoto anapatikanaje kama huja cheat?Kuzaa haijawahi kuwa kosa popote
Ku-cheat ndio KOSA.
Unaposema kuchapiwa sio unaweza kusamehewa hujui chanzo cha ku-cheat ndio Mtoto
Hivi unaosama unachoandika? Hiyo mtoto anapatikanaje kama huja cheat?
Come on man think deep
Wewe unasema cheating inasemeheka, right. Logic yangu kuna cheating halafu kuna cheating mpaka kuzaa nje.Sasa mbona unasema Mwanamke aki-cheat unaweza msamehe?
Ila akizaa huwezi. Logic ya jambo hilo ni ipi?
Wewe unasema cheating inasemeheka, right. Logic yangu kuna cheating halafu kuna cheating mpaka kuzaa nje.
Hivi ni vitu viwili tofauti. Mmoja lina possibility ya kusameheka the rest cant be