OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Wakati Kamati za Bunge zikiendelea kuchambua Bajeti za Wizara mbalimbali katika mchakato wa kuelekea Bunge la Bajeti, habari zilizotufikia zinaeleza kuwa vinara wanne Mambo ya Nje wamesimamishwa kutokana na matukio ya Ufisadi.
Kusimamishwa kwao kunakowahusu vigogo wa Idara mbili nyeti katika Wizara hiyo na Afisa mmoja mdogo kunatokana na tuhuma za kuvuna fedha pasipo kazi husika kufanyika.
Source: Mbopo aliyepo hapo Mambo ya Nje
Kusimamishwa kwao kunakowahusu vigogo wa Idara mbili nyeti katika Wizara hiyo na Afisa mmoja mdogo kunatokana na tuhuma za kuvuna fedha pasipo kazi husika kufanyika.
Source: Mbopo aliyepo hapo Mambo ya Nje