Jinsi Magufuli alivyochafuaga sera ya mambo ya nje na kupaka doa sehem ndogo ya taswira ya mzee MWINYI (kupitia kwa Rais Samia)

1120ulimwengu

Member
May 23, 2013
77
120
Hayati mzee Mwinyi alitenda mengi mazuri na mema kwa nchi, japo nae kama binadamu anamapungufu yake. Huu ni wakati wa maombolezo lakini kuna jambo lilifanywa na Samia miaka miwili iliyopita kwa kumpatia zawadi mzee Mwinyi ambalo linatia doa haiba ya marehem mzee wetu. Kama sijasahau ilikuwa siku kuu ya mzee Mwinyi, SAMIA alimzawadia gari aina mercedez Benz ambalo Samia alisema Serikali imemzawadia mzee Mwinyi Benz la chini. Najua unajihoji hii inashida gani

Nitaeleza

Tar 30 may 2016 Profesa Kabudi aliliambia bunge na dunia kwamba Tanzania haina haja sana na misaada ya nje na hivyo kupelekea sera ya nje ya Tanzania kubadilika.In addition to that kwa wasiojua muelekeo huo ndio ulianzisha msururu wa makodi na vyombo vya mapato kubinywa ili kuongeza mapato na hivyo kuanza safar ya mlolongo wa Makodi mpaka haya tunayoyaona leo. Anyway turudi kwenye track,basi kutokana na sera ya nje kubadilika Tanzania ilibadili muelekeo wake kuhusu sera ya mambo ya nje,nitaonesha..

Tanzania ilibadili mtazamo wake kuhusu Palestina na Sahara magharibi.Ile sera ya utu na kutopenda kuona wengine wakionewa ilibadilika na Magufuli akawa anaangalia tu nan atakayenipa hela.Mwaka huohuo Magufuli alianza mahusiano na mfalme Mohamed wa sita wa Morocco,kumbuka Morocco inaitawala Sahara magharibi toka mwaka 1975 na mwaka 1984 Morocco ilijitoa kwenye iliyokuwa OAU!

Tanzania ya Nyerere na Mwinyi haikupendezwa na tabia ya Morocco kuikalia Western Sahara..Magufuli alibadili hilo anacheki tu hela.

Mfalme Mohammed wa sita na Magufuli walisaini zaidi ya makubaliano 23!Mojawapo ya hayo ni ile ya kupewa eneo la 7400sqm Dar ili ajenge msikiti mkubwa ambao ungeitwa Mohammed VI mosque, pia alitoa kopi 10,000 za koran!Mlioko Dar tuambieni huo msikiti ushajengwa au hela zilipigwa😄.

Jingine mfalme alikubali kusaidia ujenzi wa kiwanja cha michezo chenye kugharimu dola milioni 100 kwenye mji mkuu wa Dodoma, mlioko Dodoma tuambieni hicho kiwanja mnakiona hapo au ndio hela ilishapigwa😅😅😅

Sasa haiba iliyotiwa dosari ya mzee Mwinyi inaingia wap hapa. Iko hivi mfalme Mohammed VI baada ya Magufuli ku-nullify sera ya Tanzania dhidi ya Morocco alimpa zawadi ya magari aina ya Mercedez Benz kadhaa. Magufuli alipokea zawadi hyo na magari hayo yakahifadhiwa, kumbuka hii ni kama hongo baada ya kuwa umekubali anayeminywa aendelee kuminywa (in this case western Sahara). Mojawapo ya magari yale ndilo ambalo Rais wetu mpendwa aliona amzawadie MZEE MWINYI!

Binafsi nilishangaa na niliona ni kama kupakaza uchafu kwenye kitu safi.

R.I.P Mzee Mwinyi
 
Tar 30 may 2016 Profesa Kabudi aliliambia bunge na dunia kwamba Tanzania haina haja sana na misaada ya nje na hivyo kupelekea sera ya nje ya Tanzania kubadilika.In addition to that kwa wasiojua muelekeo huo ndio ulianzisha msururu wa makodi na vyombo vya mapato kubinywa ili kuongeza mapato na hivyo kuanza safar ya mlolongo wa Makodi mpaka haya tunayoyaona leo. Anyway turudi kwenye track,basi kutokana na sera ya nje kubadilika Tanzania ilibadili muelekeo wake kuhusu sera ya mambo ya nje,nitaonesha..
Acha uongo, hayo matozo ni gharama za kulipia mikopo ya chanjo za uviko, sera ambazo Magufuli alizikataa.
 
Hayati mzee Mwinyi alitenda mengi mazuri na mema kwa nchi, japo nae kama binadamu anamapungufu yake. Huu ni wakati wa maombolezo lakini kuna jambo lilifanywa na Samia miaka miwili iliyopita kwa kumpatia zawadi mzee Mwinyi ambalo linatia doa haiba ya marehem mzee wetu. Kama sijasahau ilikuwa siku kuu ya mzee Mwinyi, SAMIA alimzawadia gari aina mercedez Benz ambalo Samia alisema Serikali imemzawadia mzee Mwinyi Benz la chini. Najua unajihoji hii inashida gani

Nitaeleza

Tar 30 may 2016 Profesa Kabudi aliliambia bunge na dunia kwamba Tanzania haina haja sana na misaada ya nje na hivyo kupelekea sera ya nje ya Tanzania kubadilika.In addition to that kwa wasiojua muelekeo huo ndio ulianzisha msururu wa makodi na vyombo vya mapato kubinywa ili kuongeza mapato na hivyo kuanza safar ya mlolongo wa Makodi mpaka haya tunayoyaona leo. Anyway turudi kwenye track,basi kutokana na sera ya nje kubadilika Tanzania ilibadili muelekeo wake kuhusu sera ya mambo ya nje,nitaonesha..

Tanzania ilibadili mtazamo wake kuhusu Palestina na Sahara magharibi.Ile sera ya utu na kutopenda kuona wengine wakionewa ilibadilika na Magufuli akawa anaangalia tu nan atakayenipa hela.Mwaka huohuo Magufuli alianza mahusiano na mfalme Mohamed wa sita wa Morocco,kumbuka Morocco inaitawala Sahara magharibi toka mwaka 1975 na mwaka 1984 Morocco ilijitoa kwenye iliyokuwa OAU!

Tanzania ya Nyerere na Mwinyi haikupendezwa na tabia ya Morocco kuikalia Western Sahara..Magufuli alibadili hilo anacheki tu hela.

Mfalme Mohammed wa sita na Magufuli walisaini zaidi ya makubaliano 23!Mojawapo ya hayo ni ile ya kupewa eneo la 7400sqm Dar ili ajenge msikiti mkubwa ambao ungeitwa Mohammed VI mosque, pia alitoa kopi 10,000 za koran!Mlioko Dar tuambieni huo msikiti ushajengwa au hela zilipigwa😄.

Jingine mfalme alikubali kusaidia ujenzi wa kiwanja cha michezo chenye kugharimu dola milioni 100 kwenye mji mkuu wa Dodoma, mlioko Dodoma tuambieni hicho kiwanja mnakiona hapo au ndio hela ilishapigwa😅😅😅

Sasa haiba iliyotiwa dosari ya mzee Mwinyi inaingia wap hapa. Iko hivi mfalme Mohammed VI baada ya Magufuli ku-nullify sera ya Tanzania dhidi ya Morocco alimpa zawadi ya magari aina ya Mercedez Benz kadhaa. Magufuli alipokea zawadi hyo na magari hayo yakahifadhiwa, kumbuka hii ni kama hongo baada ya kuwa umekubali anayeminywa aendelee kuminywa (in this case western Sahara). Mojawapo ya magari yale ndilo ambalo Rais wetu mpendwa aliona amzawadie MZEE MWINYI!

Binafsi nilishangaa na niliona ni kama kupakaza uchafu kwenye kitu safi.

R.I.P Mzee Mwinyi
Hebu tuwekee uthibitisho wa hizi tuhuma, mkuu.
 
Hayati mzee Mwinyi alitenda mengi mazuri na mema kwa nchi, japo nae kama binadamu anamapungufu yake. Huu ni wakati wa maombolezo lakini kuna jambo lilifanywa na Samia miaka miwili iliyopita kwa kumpatia zawadi mzee Mwinyi ambalo linatia doa haiba ya marehem mzee wetu. Kama sijasahau ilikuwa siku kuu ya mzee Mwinyi, SAMIA alimzawadia gari aina mercedez Benz ambalo Samia alisema Serikali imemzawadia mzee Mwinyi Benz la chini. Najua unajihoji hii inashida gani

Nitaeleza

Tar 30 may 2016 Profesa Kabudi aliliambia bunge na dunia kwamba Tanzania haina haja sana na misaada ya nje na hivyo kupelekea sera ya nje ya Tanzania kubadilika.In addition to that kwa wasiojua muelekeo huo ndio ulianzisha msururu wa makodi na vyombo vya mapato kubinywa ili kuongeza mapato na hivyo kuanza safar ya mlolongo wa Makodi mpaka haya tunayoyaona leo. Anyway turudi kwenye track,basi kutokana na sera ya nje kubadilika Tanzania ilibadili muelekeo wake kuhusu sera ya mambo ya nje,nitaonesha..

Tanzania ilibadili mtazamo wake kuhusu Palestina na Sahara magharibi.Ile sera ya utu na kutopenda kuona wengine wakionewa ilibadilika na Magufuli akawa anaangalia tu nan atakayenipa hela.Mwaka huohuo Magufuli alianza mahusiano na mfalme Mohamed wa sita wa Morocco,kumbuka Morocco inaitawala Sahara magharibi toka mwaka 1975 na mwaka 1984 Morocco ilijitoa kwenye iliyokuwa OAU!

Tanzania ya Nyerere na Mwinyi haikupendezwa na tabia ya Morocco kuikalia Western Sahara..Magufuli alibadili hilo anacheki tu hela.

Mfalme Mohammed wa sita na Magufuli walisaini zaidi ya makubaliano 23!Mojawapo ya hayo ni ile ya kupewa eneo la 7400sqm Dar ili ajenge msikiti mkubwa ambao ungeitwa Mohammed VI mosque, pia alitoa kopi 10,000 za koran!Mlioko Dar tuambieni huo msikiti ushajengwa au hela zilipigwa😄.

Jingine mfalme alikubali kusaidia ujenzi wa kiwanja cha michezo chenye kugharimu dola milioni 100 kwenye mji mkuu wa Dodoma, mlioko Dodoma tuambieni hicho kiwanja mnakiona hapo au ndio hela ilishapigwa😅😅😅

Sasa haiba iliyotiwa dosari ya mzee Mwinyi inaingia wap hapa. Iko hivi mfalme Mohammed VI baada ya Magufuli ku-nullify sera ya Tanzania dhidi ya Morocco alimpa zawadi ya magari aina ya Mercedez Benz kadhaa. Magufuli alipokea zawadi hyo na magari hayo yakahifadhiwa, kumbuka hii ni kama hongo baada ya kuwa umekubali anayeminywa aendelee kuminywa (in this case western Sahara). Mojawapo ya magari yale ndilo ambalo Rais wetu mpendwa aliona amzawadie MZEE MWINYI!

Binafsi nilishangaa na niliona ni kama kupakaza uchafu kwenye kitu safi.

R.I.P Mzee Mwinyi

Hayati mzee Mwinyi alitenda mengi mazuri na mema kwa nchi, japo nae kama binadamu anamapungufu yake. Huu ni wakati wa maombolezo lakini kuna jambo lilifanywa na Samia miaka miwili iliyopita kwa kumpatia zawadi mzee Mwinyi ambalo linatia doa haiba ya marehem mzee wetu. Kama sijasahau ilikuwa siku kuu ya mzee Mwinyi, SAMIA alimzawadia gari aina mercedez Benz ambalo Samia alisema Serikali imemzawadia mzee Mwinyi Benz la chini. Najua unajihoji hii inashida gani

Nitaeleza

Tar 30 may 2016 Profesa Kabudi aliliambia bunge na dunia kwamba Tanzania haina haja sana na misaada ya nje na hivyo kupelekea sera ya nje ya Tanzania kubadilika.In addition to that kwa wasiojua muelekeo huo ndio ulianzisha msururu wa makodi na vyombo vya mapato kubinywa ili kuongeza mapato na hivyo kuanza safar ya mlolongo wa Makodi mpaka haya tunayoyaona leo. Anyway turudi kwenye track,basi kutokana na sera ya nje kubadilika Tanzania ilibadili muelekeo wake kuhusu sera ya mambo ya nje,nitaonesha..

Tanzania ilibadili mtazamo wake kuhusu Palestina na Sahara magharibi.Ile sera ya utu na kutopenda kuona wengine wakionewa ilibadilika na Magufuli akawa anaangalia tu nan atakayenipa hela.Mwaka huohuo Magufuli alianza mahusiano na mfalme Mohamed wa sita wa Morocco,kumbuka Morocco inaitawala Sahara magharibi toka mwaka 1975 na mwaka 1984 Morocco ilijitoa kwenye iliyokuwa OAU!

Tanzania ya Nyerere na Mwinyi haikupendezwa na tabia ya Morocco kuikalia Western Sahara..Magufuli alibadili hilo anacheki tu hela.

Mfalme Mohammed wa sita na Magufuli walisaini zaidi ya makubaliano 23!Mojawapo ya hayo ni ile ya kupewa eneo la 7400sqm Dar ili ajenge msikiti mkubwa ambao ungeitwa Mohammed VI mosque, pia alitoa kopi 10,000 za koran!Mlioko Dar tuambieni huo msikiti ushajengwa au hela zilipigwa😄.

Jingine mfalme alikubali kusaidia ujenzi wa kiwanja cha michezo chenye kugharimu dola milioni 100 kwenye mji mkuu wa Dodoma, mlioko Dodoma tuambieni hicho kiwanja mnakiona hapo au ndio hela ilishapigwa😅😅😅

Sasa haiba iliyotiwa dosari ya mzee Mwinyi inaingia wap hapa. Iko hivi mfalme Mohammed VI baada ya Magufuli ku-nullify sera ya Tanzania dhidi ya Morocco alimpa zawadi ya magari aina ya Mercedez Benz kadhaa. Magufuli alipokea zawadi hyo na magari hayo yakahifadhiwa, kumbuka hii ni kama hongo baada ya kuwa umekubali anayeminywa aendelee kuminywa (in this case western Sahara). Mojawapo ya magari yale ndilo ambalo Rais wetu mpendwa aliona amzawadie MZEE MWINYI!

Binafsi nilishangaa na niliona ni kama kupakaza uchafu kwenye kitu safi.

R.I.P Mzee Mwinyi
Kabudi hakuwa waziri May 2016,aliteuliwa kuwa mbunge January 2017 je huo uwaziri wa May 30 2016 aliupataje? Uongo huo mdogo unafanya gazeti lote ulilo liandika lionekane porojo. May 30 2016 waziri wa mambo ya nje alikuwa Mahiga,Kabudi aliteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje mwezi March 2019.
 
Kabudi hakuwa waziri May 2016,aliteuliwa kuwa mbunge January 2017 je huo uwaziri wa May 30 2016 aliupataje? Uongo huo mdogo unafanya gazeti lote ulilo liandika lionekane porojo. May 30 2016 waziri wa mambo ya nje alikuwa Mahiga,Kabudi aliteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje mwezi March 2019.
Huyu ni kenge kama kenge wengine, wanalala wanamuota Magufuli utadhani aliwaacha na mimba kabla hajafa.
 
Hayati mzee Mwinyi alitenda mengi mazuri na mema kwa nchi, japo nae kama binadamu anamapungufu yake. Huu ni wakati wa maombolezo lakini kuna jambo lilifanywa na Samia miaka miwili iliyopita kwa kumpatia zawadi mzee Mwinyi ambalo linatia doa haiba ya marehem mzee wetu. Kama sijasahau ilikuwa siku kuu ya mzee Mwinyi, SAMIA alimzawadia gari aina mercedez Benz ambalo Samia alisema Serikali imemzawadia mzee Mwinyi Benz la chini. Najua unajihoji hii inashida gani

Nitaeleza

Tar 30 may 2016 Profesa Kabudi aliliambia bunge na dunia kwamba Tanzania haina haja sana na misaada ya nje na hivyo kupelekea sera ya nje ya Tanzania kubadilika.In addition to that kwa wasiojua muelekeo huo ndio ulianzisha msururu wa makodi na vyombo vya mapato kubinywa ili kuongeza mapato na hivyo kuanza safar ya mlolongo wa Makodi mpaka haya tunayoyaona leo. Anyway turudi kwenye track,basi kutokana na sera ya nje kubadilika Tanzania ilibadili muelekeo wake kuhusu sera ya mambo ya nje,nitaonesha..

Tanzania ilibadili mtazamo wake kuhusu Palestina na Sahara magharibi.Ile sera ya utu na kutopenda kuona wengine wakionewa ilibadilika na Magufuli akawa anaangalia tu nan atakayenipa hela.Mwaka huohuo Magufuli alianza mahusiano na mfalme Mohamed wa sita wa Morocco,kumbuka Morocco inaitawala Sahara magharibi toka mwaka 1975 na mwaka 1984 Morocco ilijitoa kwenye iliyokuwa OAU!

Tanzania ya Nyerere na Mwinyi haikupendezwa na tabia ya Morocco kuikalia Western Sahara..Magufuli alibadili hilo anacheki tu hela.

Mfalme Mohammed wa sita na Magufuli walisaini zaidi ya makubaliano 23!Mojawapo ya hayo ni ile ya kupewa eneo la 7400sqm Dar ili ajenge msikiti mkubwa ambao ungeitwa Mohammed VI mosque, pia alitoa kopi 10,000 za koran!Mlioko Dar tuambieni huo msikiti ushajengwa au hela zilipigwa😄.

Jingine mfalme alikubali kusaidia ujenzi wa kiwanja cha michezo chenye kugharimu dola milioni 100 kwenye mji mkuu wa Dodoma, mlioko Dodoma tuambieni hicho kiwanja mnakiona hapo au ndio hela ilishapigwa😅😅😅

Sasa haiba iliyotiwa dosari ya mzee Mwinyi inaingia wap hapa. Iko hivi mfalme Mohammed VI baada ya Magufuli ku-nullify sera ya Tanzania dhidi ya Morocco alimpa zawadi ya magari aina ya Mercedez Benz kadhaa. Magufuli alipokea zawadi hyo na magari hayo yakahifadhiwa, kumbuka hii ni kama hongo baada ya kuwa umekubali anayeminywa aendelee kuminywa (in this case western Sahara). Mojawapo ya magari yale ndilo ambalo Rais wetu mpendwa aliona amzawadie MZEE MWINYI!

Binafsi nilishangaa na niliona ni kama kupakaza uchafu kwenye kitu safi.

R.I.P Mzee Mwinyi
Uharo mtupu umehara hapa
 
Licha ya taarifa zako kwenye andiko lako kuwa na utata mwingi ; wacha nikueleze kitu.


Hakuna siku nchi hii itaendelea kwa kutegemea misaada ya wahisani.
Umewahi kujiuliza hao wahisani wao walipewa misaada na nani mpaka kufikia maendeleo makubwa waliyonayo hii leo?
 
Hayati mzee Mwinyi alitenda mengi mazuri na mema kwa nchi, japo nae kama binadamu anamapungufu yake. Huu ni wakati wa maombolezo lakini kuna jambo lilifanywa na Samia miaka miwili iliyopita kwa kumpatia zawadi mzee Mwinyi ambalo linatia doa haiba ya marehem mzee wetu. Kama sijasahau ilikuwa siku kuu ya mzee Mwinyi, SAMIA alimzawadia gari aina mercedez Benz ambalo Samia alisema Serikali imemzawadia mzee Mwinyi Benz la chini. Najua unajihoji hii inashida gani

Nitaeleza

Tar 30 may 2016 Profesa Kabudi aliliambia bunge na dunia kwamba Tanzania haina haja sana na misaada ya nje na hivyo kupelekea sera ya nje ya Tanzania kubadilika.In addition to that kwa wasiojua muelekeo huo ndio ulianzisha msururu wa makodi na vyombo vya mapato kubinywa ili kuongeza mapato na hivyo kuanza safar ya mlolongo wa Makodi mpaka haya tunayoyaona leo. Anyway turudi kwenye track,basi kutokana na sera ya nje kubadilika Tanzania ilibadili muelekeo wake kuhusu sera ya mambo ya nje,nitaonesha..

Tanzania ilibadili mtazamo wake kuhusu Palestina na Sahara magharibi.Ile sera ya utu na kutopenda kuona wengine wakionewa ilibadilika na Magufuli akawa anaangalia tu nan atakayenipa hela.Mwaka huohuo Magufuli alianza mahusiano na mfalme Mohamed wa sita wa Morocco,kumbuka Morocco inaitawala Sahara magharibi toka mwaka 1975 na mwaka 1984 Morocco ilijitoa kwenye iliyokuwa OAU!

Tanzania ya Nyerere na Mwinyi haikupendezwa na tabia ya Morocco kuikalia Western Sahara..Magufuli alibadili hilo anacheki tu hela.

Mfalme Mohammed wa sita na Magufuli walisaini zaidi ya makubaliano 23!Mojawapo ya hayo ni ile ya kupewa eneo la 7400sqm Dar ili ajenge msikiti mkubwa ambao ungeitwa Mohammed VI mosque, pia alitoa kopi 10,000 za koran!Mlioko Dar tuambieni huo msikiti ushajengwa au hela zilipigwa😄.

Jingine mfalme alikubali kusaidia ujenzi wa kiwanja cha michezo chenye kugharimu dola milioni 100 kwenye mji mkuu wa Dodoma, mlioko Dodoma tuambieni hicho kiwanja mnakiona hapo au ndio hela ilishapigwa😅😅😅

Sasa haiba iliyotiwa dosari ya mzee Mwinyi inaingia wap hapa. Iko hivi mfalme Mohammed VI baada ya Magufuli ku-nullify sera ya Tanzania dhidi ya Morocco alimpa zawadi ya magari aina ya Mercedez Benz kadhaa. Magufuli alipokea zawadi hyo na magari hayo yakahifadhiwa, kumbuka hii ni kama hongo baada ya kuwa umekubali anayeminywa aendelee kuminywa (in this case western Sahara). Mojawapo ya magari yale ndilo ambalo Rais wetu mpendwa aliona amzawadie MZEE MWINYI!

Binafsi nilishangaa na niliona ni kama kupakaza uchafu kwenye kitu safi.

R.I.P Mzee Mwinyi
Andika Kitabu
 
Back
Top Bottom