Mshika mmoja akija hapa utasikia walikuwa magamba na mzigo kwa chama.Ila hao magamba na mzigo nashangaa kutowafutia/kuwatimua uanachama ni mpaka wao wenyewe waamue kujivua uanachama wenyewe ndipo wanaitwa mzigo na gamba ndani ya chama.waje tuu kwetu hata kama ni gamba tutawabatiza na kuwa wapya katika taifa,Hata kama nanini tutampatia ubatizo kama wa Yohana mbatizaji na watakuwa wapya tena.M4C IDUMU.