Hulipwi ili utimize mahitaji yako,unalipwa kulingana na makubaliano yako na mwajiri na kulingana na uwezo wako kuanzia kielimu mpaka kiutendaji. Kama mtu anaona mshahara wa kima cha chini cha 135,000 kidogo basi aangalie utaratibu mwingine.
Mahitaji ya mtu hayaishi,muhimu serikali iangalie kiwango cha mishahara inayolipwa na nchi nyingine zinalolingana na zetu kwa elimu kama za waajiriwa wake. Kwani kama matumizi ya mtu kwa mwezi ni Tshs 10,000, mtu alipwe kiasi hicho hicho ili kutimiza mahitaji yake? Mtu alipwe kutokana na utendaji na elimu yake.
Hulipwi ili utimize mahitaji yako,unalipwa kulingana na makubaliano yako na mwajiri na kulingana na uwezo wako kuanzia kielimu mpaka kiutendaji. Kama mtu anaona mshahara wa kima cha chini cha 135,000 kidogo basi aangalie utaratibu mwingine.
Mahitaji ya mtu hayaishi,muhimu serikali iangalie kiwango cha mishahara inayolipwa na nchi nyingine zinalolingana na zetu kwa elimu kama za waajiriwa wake. Kwani kama matumizi ya mtu kwa mwezi ni Tshs 10,000, mtu alipwe kiasi hicho hicho ili kutimiza mahitaji yake? Mtu alipwe kutokana na utendaji na elimu yake.
Maisha bora kwa kila mtanzania ndo hayo,
Hata tunapoteza muda kujadili keshasema habebembelezi kura zetu,
hajui kuwa mimi nyuma yangu kuna ndugu zangu zaidi ya 10 wanategemea mshahara huo niwamegee japo kidogo,
nikiwaambia msipige kura kwa huyo jamaa, atapata ngapi?
Hulipwi ili utimize mahitaji yako,unalipwa kulingana na makubaliano yako na mwajiri na kulingana na uwezo wako kuanzia kielimu mpaka kiutendaji. Kama mtu anaona mshahara wa kima cha chini cha 135,000 kidogo basi aangalie utaratibu mwingine.
Mahitaji ya mtu hayaishi,muhimu serikali iangalie kiwango cha mishahara inayolipwa na nchi nyingine zinalolingana na zetu kwa elimu kama za waajiriwa wake. Kwani kama matumizi ya mtu kwa mwezi ni Tshs 10,000, mtu alipwe kiasi hicho hicho ili kutimiza mahitaji yake? Mtu alipwe kutokana na utendaji na elimu yake.